Recent content by hateme

  1. H

    Baraza la Iddi: Mahakama ya Kadhi ni suala la Waislamu wenyewe - Kikwete

    nje ya hayo yote uliyo yaongea mheshimiwa mimi ilikuwa inaniuma sana kodi za walanguruwe(najisi) kodi za mabenki yanayo toza riba kodi ya mambo chungu mzima ambazo kwetu ni haramu na najisi kubwa zitatumika kwa namna moja au nyingine kuisimamisha mahakama tukufu na takatifu, na inaniuma sana...
  2. H

    CCM hatarini: Wafuasi wa Lowassa, Chenge wapanga kuipasua

    (Subiri uchaguzi wa mwenyekiti 2012) fjm 2012 huu ni uchaguzi wa mwenyekliti wa wapi niweke sawa mkuu
  3. H

    BAVICHA kuchakaza Igunga, Operesheni Chukua Igunga

    safi sana wapiganaji igunga tunachukua hapa tabora kimtu anasubiri siku iwadie tuachane na siasa uchwara na za kifisadi woooooooou love chadema
  4. H

    BAVICHA kuchakaza Igunga, Operesheni Chukua Igunga

    wana jamii nawasha tv yangu tbc wanapitisha maandish chadema waanza operation igunga nifahamisheni uzuri chadema wameitangaza lini na wanaianza vipi?
  5. H

    nipesababu ya kushindwa

    eneo la ekari moja tutali nunua kwa shilingi laki nnne 400,000/= ekari kumi tuta nunua milion nne 4,000,000/= tutalima ekari moja kwa shilingi elfu thelasini 30,000/= ekari kumi lakitatu 300,000/ kilimo cha pili lakisita 600,000/= kupalilia ekari moja elfu ishirini ekari kumi laki mbili jumla...
  6. H

    Malawi imetibuka

    chanzo tbc wananchi wanaandamana kuipinga serekali watu tisa wamefariki majeruhi kibao ccm stand up!!
Back
Top Bottom