Tunahitaji dunia zaidi ya wao wanavyotuhitaji, acheni nchi ifunguke, hakuna Taifa linalojitegemea lenyewe ,sharti lishirikiane na dunia nzima, tuwe SUBRA wakati chakula kinaandaliwa.
Kaa utafakari kwa kina ulivipataje ?njia halali au njia haramu ?ukigundua JIULIZE pia,kabla ya kuvipata uliweka nadhiri(AHADI KWA MUNGU) ya aina yoyote ya sadaka au shukurani na je ulitimiza?
Huenda kuna jambo UMESAHAU mkuu
Mama apumzike kwa amani, Mungu mwenye uwezo ya kuamua, kumiliki na kutenda Kila Jambo ampokee mama na ampe pumziko Jema, "inna lillah rajiun" Hakuna kiumbe mwenye mkataba na MUNGU JUU YA MAISHA HAPA DUNIANI, ALLAH PEKEE ANAJUA WAPI, LINI, KWA SABABU GANI.
R. I. P Mama ERIC
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.