Tunahitaji dunia zaidi ya wao wanavyotuhitaji, acheni nchi ifunguke, hakuna Taifa linalojitegemea lenyewe ,sharti lishirikiane na dunia nzima, tuwe SUBRA wakati chakula kinaandaliwa.
Kaa utafakari kwa kina ulivipataje ?njia halali au njia haramu ?ukigundua JIULIZE pia,kabla ya kuvipata uliweka nadhiri(AHADI KWA MUNGU) ya aina yoyote ya sadaka au shukurani na je ulitimiza?
Huenda kuna jambo UMESAHAU mkuu
Mama apumzike kwa amani, Mungu mwenye uwezo ya kuamua, kumiliki na kutenda Kila Jambo ampokee mama na ampe pumziko Jema, "inna lillah rajiun" Hakuna kiumbe mwenye mkataba na MUNGU JUU YA MAISHA HAPA DUNIANI, ALLAH PEKEE ANAJUA WAPI, LINI, KWA SABABU GANI.
R. I. P Mama ERIC
Sent using Jamii...
Miongoni mwa sifa kuu za Mungu ni
1. kutoelekezwa Jambo,
2.kuwa na maamizi yake,
3.kutoa na kutwaa,
4.kuwa pekee,
5.kutofananishwa na chochote,
6.mkarimu,
7.mkali anapostahili kuwa mkali
8.kutowaonea binadamu,
9.kuwa mtulivu na mvumilivu
10.kutenda kwa Siri na kuitunza Siri.
11.kujua Kila...
Ndugu zangu Watanzania, TUJUE SISI NI TAIFA, SISI NI WAMOJA KABLA YA VYAMA.
TUACHE KUJITENGA KTK MASUALA YA MSINGI AMBAYO AKILI YAKO AU YANGU INAJUA HATA LEO UKISHINDA NAFASI YA RAIS WA TANZANIA CHAMA CHAKO HAKIWEZI KUONDOA KITU HICHO.
MFANO WA MACHACHE HAYO NI BENDERA YETU, NEMBO YETU, WIMBO...
ndugu, unasahau Mapema Mbona, ANAYETOA UHAI IN JIBRIIL KWA AMRI YA MUNGU TU, NA UHAI UNA MUDA WAKE MAALUM, UKIFIKA HAUNA UJANJA, USIWASEMEE VIBAYA HAO viongozi ,HUYO "mtoaji wa ROHO JIBRIIL,ANAPOKEA AMRI MOJA TU YA ALLAH, HUYU SIFA ZAKE NI HATARI, HALI, HANYWI, HANA MSAIDIZI ,SI MWANAMKE WALA SI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.