Recent content by Hassanmanz

  1. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Nakodisha magari kwenye makampuni

    Habari ndugu zangu wa forum kwa majina naitwa Hassan nina gari zangu mbili aina ya Toyota Vellfire nina kodisha kwenye shughuri mbali mbali ndani na nje ya Dar es salaam hususa ni kwenye makampuni na sekta binafsi na taasisi gari zangu zipo kwenye hali nzuri na ni very luxury hazina...
  2. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari kwa ajili ya Uber na Bolt

    Habari, Wadau Kwa majina naitwa Hassan Mohamed naishi Yombo Vituka, temeke ninatafuta gari ya hesabu au mkataba ya Uber na Bolt Kwa yeyote mwenye uhitaji na dereva nipo tayari muda na saa yeyote napatikana Kwa nambari za simu zifuatazo: 0782639687
  3. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Habari za majukumu wana jamii forums, Natafuta gari ya uber hesabu nina account zote mbili kwa atakae hitaji dereva nipo tayari nina uzoefu miaka mitatu napatikana kwa namba 0752583393
  4. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Dereva mtandaoni, natafuta gari ya mkataba

    Kila la kheri boss
  5. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Bado sijapata
  6. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Hapana sijaomba
  7. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Hapana sijajiunga ndugu yangu
  8. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Sijapata kaka
  9. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Habari za majukumu ndugu zangu kwa majina naitwa hassan mohamed manzi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 naishi daresalaam temeke ninatafuta kazi ya udereva ikiwemo kumuendesha mtu binafsi daladala, gari ya kampuni kwa yeyote mwenye kuhitaji dereva nipo tayari napatikana kwa namba zifuatazo...
  10. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Maelewano kaka hali ngumu sana kwasasa
  11. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Shukran
  12. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Habari za majukumu, viongozi kwa majina Naitwa Hassan Mohammed, ninatafuta gari ya Uber hesabu kwa wiki nitaleta 150000 Nina uzoefu wa kutosha Nina active Account Nina umri miaka 25 ni mtunzaji mzuri wa gari kwa yoyote atakaekuwa tayari anitafute kwenye namba hii 0752583393 natumai nitasaidiwa...
  13. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Shukran kaka ikitoea niunganishe
  14. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Ninacho cha veta tu kaka
  15. Hassanmanz

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva, natafuta kazi ya kuendesha gari ya Uber

    Sawa kaka shukran hata daladala ukipata safi tu niunganishe
Back
Top Bottom