The current employment-based education system in Tanzania has led to a lack of self-reliance and innovation among the population.
This writingl outlines a comprehensive plan to transition from an employment-based education system to a self-reliance education system, focusing on fostering...
laa..! si hivyo ila wasiishi kistaa mfano kwenda club au viwanja vya starehe
kutumia matumiz makubwa mfano unamkuta mtu anatumia cm ya laki saba au milion moja hali ya kuwa kwao hali ni dhoofu sana japo kuwa vitu vya bai ya kawaida na vinafaa vipo bali ananunua kwasababu ya show off
Kupotosha ni kitendo cha mtu kutoa taarifa au kuzungumza kitu katika hali isiyo sahihi na kupelekea wanaomsikiliza kukosa uhalisia wa jambo. Leo hii nchini Tanzania kumezuka tabia hii ya upotoshaji katika mambo mbalimbali ikiwemo mambo ya utawala wa serikali.
Kutokana na kuwepo kwa upinzani...
wanaume wenzangu njoeni tujadili hili suala hata wanawake pia mnaruhusiwa maana haya mambo yanaoneka wanawake ndio wanaonekana hawaridhishwi
kwahiyo njoen tujadili tuwekane sawa kila mmoja afahamu
ni changamoto kubwa sana na elimu inatakiwa itolewe kama itawezekana kuwe na vipindi maalumu kupitia channel za televisheni ili jamii ipate kujua ukweli wa haya mambo
ukubwa ule wa asili hauna tatizo ila tatizo lipo kwa wanaoongeza ukubwa kwa kutumia madawa na mbinu zingine kwani husababisha madhara, lakini pia kwa asili maumbile hayawezi kuathiri na hayawezi kuzidi ule kubwa wa juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.