Recent content by Hassan Rwitita

  1. Hassan Rwitita

    Hiki kidonda nateseka sana nikienda haja, mwenye kujua dawa ya kuharisha

    Poleni bandugu kwa kweli elimi hii inatusaidia wengi poleni wangonjwa waleo na tujipe pole wangonjwa wajao
  2. Hassan Rwitita

    Mtaalam wa Saikolojia: Wapiga 'Kura' wengi hupenda Kuwapigia Kura wale wa Kwanza Kwanza 'Pichani' na wale wa Mwisho Mwisho 'huwaboa' katika Kuwapigia

    Mi pamoja na mwansaikolojia mwenyewe anaweza akawa ameathilika na Tabia hiyo hivi kwa manyanyaso ya hii miaka mitano nishindwe kumtafa ninaye mtaka ambaye najua atanielewa ninataka nini
  3. Hassan Rwitita

    GE2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

    Mjinga zaidi ni yule aliuoagiza kivuko ni kibovu mwerevu ni yule aliefika mwisho wa Safari na akijua gari watamletea aliko
  4. Hassan Rwitita

    Kampuni ya Indiana yafungua kesi ya madai ya takribani Sh. Bilioni 220 dhidi ya Tanzania

    Huenda hii mikataba ilikuwa inavunjwa kumpaisha mtu fulanI bira kujua kitakachojiri baaadae
  5. Hassan Rwitita

    Fatma Karume aondolewa kwenye orodha ya mawakili (Permanent removal), akutwa na hatia ya kukiuka maadili

    Lakini shangazi alikuwa mwisho wake Ina majibu yake haonyeshi kuchukua , hata hivyo mawakili waupande mmoja ukute ndio walikaa wawili tu jiwe kawagiza nao wamefuata
  6. Hassan Rwitita

    GE2020 Urambo, Tabora: Dkt. Magufuli 'akandia' sera ya majimbo; asema inakaribisha mafarakano na umasikini kwa Watanzania

    Aaaah ndio maana !! Amegoma kabisaa kusafiri nje ya Tanzania kwa sababu hataki kujifunza Jambo jipya kwake huyu dokta sijui lakini Ila tumfanye kumtoa alipo mbona makusanyo ya hela ya halmashauri toka amechukua halmashauri zinazidi ktota naona Sera ya majimbo ndio nzuri kuliko hata anavyojua...
  7. Hassan Rwitita

    NEC yaweka masharti matumizi ya simu vituoni Oktoba 28

    Wasije wakasema tuingie bira nguo kupiga kura maana sio hofu hiyo.
  8. Hassan Rwitita

    Tanzania yapinga ripoti ya UN ya Tume ya Haki za Binadamu

    Taki vizuri mbona Kuna watu mmewaengua na wote ni wapinzani usawa uko wapi
  9. Hassan Rwitita

    TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

    Ukute mungu kamua kutuepushia mbali na mateso yaliyokuwa yatupate kuelekea kipindi hiki Cha uchaguzi.
Back
Top Bottom