Recent content by hassan mgallawe

  1. H

    Babu Tale: Diamond hatumiki kusafirisha dawa za kulevya

    Wadau wa page hii ifike pahala tuache unafiki na kuongelea vitu ambavyo havina uthibitisho. Huyu Dogo Diamond au Nasibu ukweli kazi yake inakubalika na hakuna asiejua kama Nasibu anapendwa. Sioni sababu ya kumuhusisha kazi yake ya muziki na biashara zingine.Kwa wale watu ambao wamepata bahati ya...
  2. H

    Mmoja auawa kwa risasi na watu wanaodhaniwa kuwa majambazi - Mataa ya Airport

    Matukio ya unyang’anyi wa fedha kwa kutumia silaha wakati wa mchana kwa sasa katika jiji la Dar es salaam yamekuwa ni mengi sana. Kinachowafanya watu hawa kutumia usafiri wa pikipiki ni kutafuta wepesi wa kukimbia na kupenya hata vichochoroni kwa urahisi ili wasiweze kukamatwa. Lakini pia...
  3. H

    Kwa mtu mwenye HIV, Ni dalili gani za kwanza humpata, na huonekana baada ya muda gani?

    Achana na dalili kaka nenda kapime tu......afu siku hizi ukimwi watu wanapima kama mimba tu....kanunue HIV test....unajitoboa kimtindo kidoleni baada ya dk kama saba hivi utajielewa.
  4. H

    Midege ya jeshi inayozunguka angani

    Hivi wewe unadhani Jamii Forum ni ukurasa wa wapumbavu. Una elimu gani kuhusu taratibu za urukaji wa ndege za jeshi? Kuona ndege za jeshi zinaruka unakurupuka eti mafuta kodi ya wananchi inatumika vibaya. Unajua hiyo ndege imenunuliwa na kodi hiyohiyo ya wananchi au kwa upeo wako mdogo ukajua...
Back
Top Bottom