NYAYO ZA JASUSI—05
MTUNZI: HASSAN MBONECHE
Machea Hassan; mwanaume mwenye umbo nene wastani, mfupi-mweusi, akadiriaye miaka hamsini, mmoja kati ya wafanyabiashara wakubwa nchini Tanzania, makazi yake ya biashara yakiwa jijini Dar es salaam, ndiyo mmiliki wa ile semi iliyochomwa moto na waasi...