Recent content by Hassan malika

  1. Hassan malika

    Kumekucha : Chadema Kanda ya Nyasa kutangaza Ratiba ya Mikutano ya hadhara Muda wowote kuanzia sasa

    Fanyeni mikutano ya amani jamani, chawa wa Mama wakianza kuwavaa nawaahidi mmekwisha[emoji3578]
  2. Hassan malika

    Kumekucha : Chadema Kanda ya Nyasa kutangaza Ratiba ya Mikutano ya hadhara Muda wowote kuanzia sasa

    Ngoja waingie kichwa kichwa ndio watajua mama kwanini ameruhusu mikutano ya vyama vya siasa[emoji3578]
  3. Hassan malika

    Kwasasa Rais Samia amembakiza Kassimu Majaliwa tu!

    Kabisa huyo hajielewi anadhani Rais anakurupuka, alafu watu wanaona huyu Rais sio mchapakazi lakini ipo siku wataelewa anamaanisha nini, mimi sijafundishwa kumchukia mkuu wangu wa nchi na sitokaa nimchukie hata siku moja. Chuki kwangu haijawahi kunijenga
  4. Hassan malika

    Kwasasa Rais Samia amembakiza Kassimu Majaliwa tu!

    Wewe si mzee TambiTambi unajua hii nchi ni ya kwenu bana!
  5. Hassan malika

    Kwasasa Rais Samia amembakiza Kassimu Majaliwa tu!

    Cheki hii panzi, unaleta Udini kwenye siasa, nyie ndio mnatugawa Watanzania[emoji25]
  6. Hassan malika

    Wasifu/Historia fupi ya Samia Suluhu Hassani. Aliishia kidato cha nne, Mwaka 2000 hakujua kufunga Ushungi, ni mwanaraktati

    Katiba ipi mkuu! mbona mimi nimesoma katiba nzima sijaona kipengele kama hicho, msiwe mnakurupuka kuchangia vitu ambavyo hamuelewi mtu ukiulizwa hata katiba ya Tanzania ina sura ngapi hujui, alafu unakuja kuwadanganya Watanzania, hebu msiichukulie katiba yetu dhaifu kiasi hicho, katiba ya...
  7. Hassan malika

    Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

    Pole sana huwezi ukaanza kuargue moja kwa moja huenda ni kweli unakuta harakati za masomo kwa siku zinamchanganya, mimi siamini kwamba kila msichana akifanya hivyo anakuwa anakusaliti hapana! Unaweza kukuta ni kweli anakua amechoka tafadhali usimhukumu moja kwa moja bila kupata uthibitisho. Sio...
  8. Hassan malika

    Shujaa Magufuli ametenda WEMA akaenda zake. Hakuna namna anaweza kuchafuliwa kwa sababu Hayupo, hili ni fumbo la kiimani!

    Siku ipi hiyo ebu tulieni bana watu kila siku wanakufa bana, huo ukombozi unaosema kwani sasa hivi tupo utumwani bana [emoji419]
  9. Hassan malika

    Shujaa Magufuli ametenda WEMA akaenda zake. Hakuna namna anaweza kuchafuliwa kwa sababu Hayupo, hili ni fumbo la kiimani!

    Kila mtu atakufa wewe endelea kuomboleza tu,, kama vile kifo hawajaumbiwa watu, vitu vingine tunatakiwa kusahau na maisha yapite tu hamna namna kila siku kulalamika kwasababu ya kifo cha mtu ambaye ni lazima kila mtu atakufa[emoji3578]
  10. Hassan malika

    Shujaa Magufuli ametenda WEMA akaenda zake. Hakuna namna anaweza kuchafuliwa kwa sababu Hayupo, hili ni fumbo la kiimani!

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu Dah[emoji23]
  11. Hassan malika

    ANASEMA: Kesho 'Birthday' yangu 'nipost' basi

    Kama kumpost hakukupunguzii chochote kwenye maisha yako basi mpost, huwezi jua labda furaha yake ni kupostiwa[emoji3578]
  12. Hassan malika

    UMEO SINGIDA KARIBU

    Hii kamba kabisa
  13. Hassan malika

    Mapenzi sio poa aisee

    MAPENZI yana run dunia🤣🤣
Back
Top Bottom