Mkuu hapa hoja yako inamashiko sana,kimsingi huo ndiyo ukweli na tatizo nafkiri lilianza toka mwanzo na tatizo hili lisipofanyiwa kazi,basi hakika litaendelea kuligharimu sana taifa letu na hata serikali yetu kwa ujuma.Mfano;
Tatizo katika mfumo wa Elimu:
Elimu ya nchi humuandaa mtaalamu kuwa...
Oooh! hapa nilisema "Just a scam" sababu wame-exaggerate sana tatizo na ndiyo maana mwisho siku ikaonekana ni irrelevant.
Simply
The side effects of Covid-19 vaccine can't make someone Zombie, and it'll never happen to become someone ,Zombie because of vaccine. Because all of the four...
Mkuu hao jamaa bado wanasakata lao lile la Covid-19
Hysteria;
Ni aina ya ugonjwa ambao mara nyingi mtu huwa "High emotional excitable" huweza kuhisi:
Anapata shida ya kupumu, wasiwasi,kutapika na hata kama kuzimia ghafla etc nafkiri watakuwa wanarelate side effects of vaccine in relation to...
In summary;
Westerners ikiongozwa na US hupendelea zaidi Russia kutengwa na Ulimwengu..ndiyo maana kila kukicha huwawekea vikwazo.Sasa panapotokea kuwa na rafiki,wao huhisi kama nikikwazo kwao ndiyo maana hufanyiwa propaganda kila kukicha.
Ingawa wao wanamazuria yao pia maana mimi ni mwenyeji...
Kwanini asigombee mkuu,atagombea na huenda akaendelea tu hadi miaka yake 10 yaani mpaka atakapomaliza term zake mbili.
Nchi nikweli ngumu sana kuiongoza sababu kumuongoza binadamu mwenye utashi wake siku zote siyo rahisi, lakini naona kama kadri muda unavyozidi kwenda anazidi kuwa sawa na...
Mzungu anaakiri,sema nao wamemsoma mapema nia yake. Lengo hapo halikuwa siraha bali ni kuvuruga mahusiano yao ambayo pia yange athiri hata huo umoja wao automatically.
Ni ngumu kumlaumu sana kwasasa kutokana na hari halisi ya Ukraine ilivyo na yeye ndiyo huiona "true colour ya Wagner" kwenye ardhi yake tofauti na media zilizo front line katika kupotosha.
Ingawa mapungufu yake nikwamba..tatizo lake hutaka kulifanya kuwa tatizo la ulimwengu mzima, ndiyo maana...
Mkuu nimecheka sana..hasa nikihusianisha huyo Mwalimu (Sir Albert) na kauli unazotoa..nikama yeye mwenyewe. Maana jamaa (Sir Albert) alikuwa na misemo ya ajabu sana.
Ila hapa mkuu hasa mwishoni sidhani kama pako sawa sana,
Mfano rahisi;
munapopambana kumtoa mvamizi ukiona hawezekani kutoka mpaka ikifikia hari ya mmoja wenu kumtafuta rafiki wa mvamizi ili mambo yaishe basi ujue huyo mvamizi hawezekani..otherwise ilikuwa nikumpiga na kumtoa. Mzungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.