Recent content by Harunahoba

  1. Harunahoba

    Wapi hukuelewa kuhusu movie ya Jumong na Spatacus?

    spatacus wa kweny blood and sand alifariki mwaka 2011 wakat blood and sand ilitoka 2010(mwaka mmoja ) hivyo kuwekwa mtu mwingine ila ukiangalia season 2 inavyoanza unajua n yy jinsi anavyokimbia kwa maana alishaanza kuact season 2 kabla hajafariki kwa kansa
  2. Harunahoba

    Wapi hukuelewa kuhusu movie ya Jumong na Spatacus?

    p1 huyo wa mapanga anaitwa mo palmo huyo jamaa mwiz aliitwa oh_yi ambaye baadae ndio aliekua mkuu wa majeshi wa goguryeo
  3. Harunahoba

    Wapi hukuelewa kuhusu movie ya Jumong na Spatacus?

    youngpo hakuwahi kutamani ufalme hapo kabla kwasababu alijua utaratibu ni kaka yange ndie alietakiwa kuridhi ufalme hivyo toka mdogo hakuwai kujiandaa kua mfalme aliinjoi kupiga pesa na madem hivyo sio kwamba ni mjinga japo ukilinganisha na akili ya jumong na taeso youngpo hakuwa na akili kuliko...
  4. Harunahoba

    Wapi hukuelewa kuhusu movie ya Jumong na Spatacus?

    nadhani walifanya vile kwasababu ya movie tu iliwalete story ya baikije lakin kwa maon yang hata angebaki jumong angeweza kumchagua aliefaa kuna kipande jumong alisema alishapitia ushindani wa crown prince hilo jambo analielewa na atafanya uamzi sahihi ila sosunho hakutaka maana mtoto wake...
  5. Harunahoba

    Naingia kwenye maombi ya kumzuia Putin asiiangamize Dunia, maana amekasirika Sana!

    kwani na wew umehusika? pia putin ni mwanadamu mzee mbna unamuogopa kama MUNGU wako ?
  6. Harunahoba

    Wapi hukuelewa kuhusu movie ya Jumong na Spatacus?

    movie ya jumong inaanza baada ya wavamizi kuivamia ardhi ya wagojosen na kuligawanya taifa hilo katika matabaka na makabila mengi. Han na puyol ndio zilizochukua eneo kubwa hasa Han empire. mataifa haya mawili (han na puyol) waliweza kuzifuta records zlte za taifa la joseng na kubaki na nyaraka...
  7. Harunahoba

    Wapi hukuelewa kuhusu movie ya Jumong na Spatacus?

    JIBU LA SWALI LA KWANZA wa threcian na warome hawakua kwenye mahusiano mazuri kwa miaka mingi wa rome waliwachukulia wa threcian kama wapiganaji tu na watumwa ila sio kama wenzao kwa maana ya kwenye uongozi wao wangetumika tu kupigana hivyo kwa kulinda utu wao na kabila lao wa threcian...
  8. Harunahoba

    Wapi hukuelewa kuhusu movie ya Jumong na Spatacus?

    JIBU LA SWALI LA 2 Quintus lentulus bathiatus alikua mridhi wa baba yake titus lentulus bathiatus katika ludus ya familia yao iliokua jijin capua. ludus ambayo mwanzo ilikua chini ya baba yake ilijihusisha na kuwatafuta, kuwafundisha na kuwauza ma gladiator ambapo kwenye utawala wa baba yake...
  9. Harunahoba

    Wapi hukuelewa kuhusu movie ya Jumong na Spatacus?

    nilikua offline tu mzee kama nalo linakuchekesha bas cheka uongeze siku za kuishi
  10. Harunahoba

    Damas Ndumbaro: Marufuku kuvaa jezi ya Mamelodi au Al Ahly kwa Mkapa kwenye michezo ya Simba na Yanga

    kwaiyo kwako mkuu messi na kibu kibu anajua? hakuna mtu anashabikia kitu kibaya mzee kama kweli yanga inacheza vizuri kuliko mamelod nani atashabikia mamelodi ? au al ahly ? wawekeze kwenye mpira huwezi nunua wachezaji wa bure mwenzio anachukua vifaa eti ushabikie vya bure uache kushabikia soka...
  11. Harunahoba

    Wapi hukuelewa kuhusu movie ya Jumong na Spatacus?

    ukifocus kula tunda utaishia ku forward movie ilikipande kama hiko kifike ila ukifocus na movie hata hivyo vipande utaona vinakupotezea mda tu
  12. Harunahoba

    Wapi hukuelewa kuhusu movie ya Jumong na Spatacus?

    😁😂😂😁😁
Back
Top Bottom