Mimi ni kijana ninayeishi mkoani mara musoma mjini nipo naendesha maisha yangu kama kawaida ila nimechoka kuwa mpweke nahitaji mke wa kuoa tujenge familia yenye upendo wa dhati aliye tayari tuwasiliane aliye musoma au mwanza nitampa kipaumbele,kama unahisi unahitaji mume naomba tuwasiliane muda...
Mimi ni kijana wa kati ninayejiheshimu,natafuta mwanamke wa kiislamu ili awe mchumba wangu na kama tutakubaliana tutaoana nipo makini na jambo hili.
Aliye tayari anaweza weka namba ya simu inbox nitampigia simu kwa maelezo zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.