Kikubwa kule usalama ni asilimia 100 hakuna mambo ya kukabana wala wizi kama bongo pia Kuna watoto waziri mno alafu pia jamaa kwa usafi sidhani kama kuna mji wamefikia kigali aisee changamoto kubwa ni vyakula vya kula jamaa hawajui kabisa kupika vizuri kwakweli
Bro wasikukatishe tamaa watu wa humu jf mimi nilikua rwanda mwaka jana mwezi wa 12 nimekaa kule wiki mbili nilifikia pale kigali serena hotel maana nilienda kikazi mimi ni staff wa serena hotel hapa dar so najua viti vingi sana kuhusu rwanda na nilizurura sana so kama uko serious unataka kwenda...
Jabbzbbajja
Kaka mimi niko na swali nahitaji unisaidie majibu yake kama itawezekana,niko nampangi wakuja dubai soon kutafuta maisha,sasa kuna mtu aliniambia kua huko dubai kuna sehemu ambayo unaweza kupata nyumba za bei rahisi ambazo unaweza ukapanga yani ziko kama hostel unakuta kuna kitanda...
Kweli kabisa kiongozi kwanza kabisa ukiona mwanamke wako anapenda sana mitandao ya kijamii ujue hapo hauna mke na ukiona mwanamke wako ana marafiki wengi haijarishi kama ni wakiume au wakike jua kua umepigwa hapo
Bro pombe haukuli pesa kama wanawake wanawake ni zaidi ya pombe kwa mfano mimi naweza kutumia buku 5 kwa siku lwa ajili ya pombe na hua sinywi kila siku kwa wiki nakunywa mara mbili au tatu ila kwa mademu unaweza ukawa unatomba demu mpya kila baada ya siku tano let say kwa mwezi unatomba mara 6...
HAPANA sio kweli hata wanawake wa mjini wapo wenye mapenzi ya kweli kwa wanaume wanaowapenda ambao hawawezi hata kuomba hela kwa wapenzi wao mwisho wa siku wanaishia kuwachuna hao wasiowapenda tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.