habari
vp kwa mtu anaeanza biashara,anahitajika afanye biashara kwa muda kdg (miezi 6)ndio aanze kulipa mapato au ni lazima akadiriwe kodi kwanza ndio aanze biashara,na je anakadiriwa nn wakati hajaifanya hy biashara? sheria ya kodi ikoje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.