Recent content by Harry Barry

  1. Harry Barry

    Jinsi ya kuendesha Biashara ya canter

    Habari wana jf Kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana mjasiliamali nimekua nikifanya biashara tofauti tofauti kwa muda sasa na kila siku nawaza kufanya kitu kipya Nipo hapa kwaajili ya msaada wenu wana jf kuhakikisha nafikia malengo yangu kama mjasiriamali Hivyo basi nimefanikiwa kununua...
  2. Harry Barry

    Nimeanzisha biashara Kariakoo, inasuasua nifanyeje iweze kuwa kwenye hali nzuri

    Imekua Ni ngumu sana kwa kipindi hiki Cha janga la corona kwenda kufuata mzigo nje...kwa sababu hiyo basi nimekua nikiagizia mzigo
  3. Harry Barry

    Nimeanzisha biashara Kariakoo, inasuasua nifanyeje iweze kuwa kwenye hali nzuri

    Niko na nguo quality kiasi chake Ila sio Ronya ronya
  4. Harry Barry

    Nimeanzisha biashara Kariakoo, inasuasua nifanyeje iweze kuwa kwenye hali nzuri

    Yah corona imepungua kwa kiasi chake lakini mpaka Sasa soko bado halijatudi kwenye Hali ya kawaida wateja Ni wachache sokoni
  5. Harry Barry

    Nimeanzisha biashara Kariakoo, inasuasua nifanyeje iweze kuwa kwenye hali nzuri

    Duka liko na nguo za kiume lipo kariakoo Mtaa wa kongo na Agrey ndani ya CONGO UNDERGROUND Ni duka la tano upande wa kushoto
  6. Harry Barry

    Nimeanzisha biashara Kariakoo, inasuasua nifanyeje iweze kuwa kwenye hali nzuri

    Kongo na Agrey nipo kwenye underground inaitwa CONGO UNDERGROUND
  7. Harry Barry

    Nimeanzisha biashara Kariakoo, inasuasua nifanyeje iweze kuwa kwenye hali nzuri

    Yah nauza jumla na rejareja Ila mkuu unadhani nifanye kitu gani ama niongeze nini ili graph yangu ya biashara iweze kwenda vizuri???
  8. Harry Barry

    Nimeanzisha biashara Kariakoo, inasuasua nifanyeje iweze kuwa kwenye hali nzuri

    Wanandugu msaada tafadhali. Ninafanya biashara Kariakoo duka la nguo za kiume na nimewekeza pesa nyingi Ila mambo hayaendi kabisa tatizo limeanza baada ya Corona maana nimeanza biashara mwezi wa 1 Corona ikaja kuharibu Kila kitu. Msaada nifanye Nini ili nipambanie biashara yangu iweze kuwa...
  9. Harry Barry

    Kipi tufanye Wasabato mnatuchanganya!

    Mchungaji alisema katika mayai kile kiini cha ndan ni hatar zaid namnukuu "katika mayai lile la nje unaweza kula hata 20 ila ogopa sana kile kiini" hakusema tusile mayai kabisa na nguruwe kesi yake ni nyingine kabisa si ya nyama nyeupe wala nyekundu ila ukisoma katika kitabu cha kumbukumbu la...
Back
Top Bottom