Recent content by Harmoraj

  1. H

    Mfumo wa Uhamisho wa Kidigitali Serikalini uruhusu wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo shinyanga Dc kata ya tinde Nahitaj wa kubadilishana kituo niende kibaha, tanga au mwanza Idara elimu msingi Cont: 0676190335
  2. H

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nahitaj wa kubadilishana kituo Mtu aje shinyanga DC kata ya tinde Mimi niende kibaha,tanga au mwanza Idara: elimu msingi Cont 0676190335
  3. H

    Naweza kuanzisha biashara gani kwa mtaji wa Milioni 5 kwa mwaka 2026?

    Naweza kuanzisha biashara gani kwa mtaji wa M5 na ikawa na mwanzo na muendelezo mzuri kati ya hizi 1. Soft drinks 2. Nafaka Pia kwa mwenye ushauri wa biashara nyingine tofauti na hizo kwa mtaji wa M5 Mkoa ni MWANZA Natanguliza shukrani
  4. H

    Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Broh kwn unaish nje ya tanzania ww,huon watu wakifanya usahili kila kukisha na ajira portal
  5. H

    Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Kwn mtu akiunga unga mwisho wa siku akifika university atapewa mtihan wake pekee au atafanya sawa na hao waliotoka form6 moja kwa moja
  6. H

    Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Tatizo sio certificate wala diploma ya ualim tatizo n mtaala kwa ujumla kuanzia drs la 1 ad hapo unapotaka afke degree ulimfundisha nini? Walimu wanafuata kile ambacho serikali inataka kifundishwe ambacho ndio kinapelekea matokeo ya elimu za kuunga unga
  7. H

    Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Pia si amefanyiwa upimaj sawa na hao waliomalza form6 na akafaul sasa tatizo liko wapi huyu jamaa anataka kusema mtu akishakosea asipewe fursa tena ya kusahisha makosa yake
  8. H

    Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Yan unaulza kwann hawafut degree😁😁 ww baki mtaani utatuongezea mzigo serikalini huna tofauti na hao kina adolfu
  9. H

    Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Aliesema unachuki binafsi na waajiriwa hajakosea, sasa kama kuna shida hio shida aliesababisha ni nani, hata ww sio critical thinker
  10. H

    Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Usilaum wa2 kusoma kwa kuunga unga laum mfumo wa elimu wa taifa, Kwan hao waliinza na degree uko university si ndio hao kila siku wanatrend mitandaoni kw maovu na uchafu hao umewaweka kundi gan wakiajiriwa na serikali Usibeze watu kwa elimu zao ww kama n mtu mzma bas ata ww safar yako ya elimu...
Back
Top Bottom