Recent content by Harmoraj

  1. H

    JamiiForums Tanzania Taratibu za kufungua duka la dawa

    Million 4
  2. H

    JamiiForums Tanzania Taratibu za kufungua duka la dawa

    Naomba kwa anaefahamu taratibu za kufungua duka la dawa kwa hivi sasa ziko vipi Mimi nina cheti cha umiliki wa duka la dawa ila sio mfamasia Natanguliza shukran 🙏
  3. H

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa Uhamisho wa Kidigitali Serikalini uruhusu wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo shinyanga Dc kata ya tinde Nahitaj wa kubadilishana kituo niende kibaha, tanga au mwanza Idara elimu msingi Cont: 0676190335
  4. H

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nahitaj wa kubadilishana kituo Mtu aje shinyanga DC kata ya tinde Mimi niende kibaha,tanga au mwanza Idara: elimu msingi Cont 0676190335
  5. H

    JamiiForums Tanzania Naweza kuanzisha biashara gani kwa mtaji wa Milioni 5 kwa mwaka 2026?

    Naweza kuanzisha biashara gani kwa mtaji wa M5 na ikawa na mwanzo na muendelezo mzuri kati ya hizi 1. Soft drinks 2. Nafaka Pia kwa mwenye ushauri wa biashara nyingine tofauti na hizo kwa mtaji wa M5 Mkoa ni MWANZA Natanguliza shukrani
  6. H

    JamiiForums Tanzania Ushauri kubadili kada

    😀 et Em
  7. H

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Broh kwn unaish nje ya tanzania ww,huon watu wakifanya usahili kila kukisha na ajira portal
  8. H

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Kwn mtu akiunga unga mwisho wa siku akifika university atapewa mtihan wake pekee au atafanya sawa na hao waliotoka form6 moja kwa moja
  9. H

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Tatizo sio certificate wala diploma ya ualim tatizo n mtaala kwa ujumla kuanzia drs la 1 ad hapo unapotaka afke degree ulimfundisha nini? Walimu wanafuata kile ambacho serikali inataka kifundishwe ambacho ndio kinapelekea matokeo ya elimu za kuunga unga
  10. H

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Pia si amefanyiwa upimaj sawa na hao waliomalza form6 na akafaul sasa tatizo liko wapi huyu jamaa anataka kusema mtu akishakosea asipewe fursa tena ya kusahisha makosa yake
  11. H

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Yan unaulza kwann hawafut degree😁😁 ww baki mtaani utatuongezea mzigo serikalini huna tofauti na hao kina adolfu
  12. H

    JamiiForums Tanzania Watu walioanzia certificate na kisha kwenda Diploma alafu Shahada wasipewe vyeo vikubwa, waishie kwenye fundi

    Aliesema unachuki binafsi na waajiriwa hajakosea, sasa kama kuna shida hio shida aliesababisha ni nani, hata ww sio critical thinker
Back
Top Bottom