Recent content by Hardat Manchare

  1. Hardat Manchare

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Mnakera kama ukinunua kifurushi mpaka kuwapigia Kwani hamuwezi Kuunganisha automatically Wakati hela mmeshaiona inakera
  2. Hardat Manchare

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Sema la Ukweli Vodacom mnazingua sana upande wa mpesa sjui mmeshiba hela. Mara ya kwanza nilinunua umeme unit hazikufika kuwapigia mnadai hela iko hewani nilikaa siku10 ndio hela ikarudi sasa swali ni je kama mtu hana hela nyingine ashinde giza kisa hela yake mmeiweka pending?? ...Swala la...
  3. Hardat Manchare

    Tuliosoma shule za Vipaji Maalum tukutane hapa...

    Kila aliyesimama aangalie asije akaanguka the words from My O level Headmaster.. Sharp
  4. Hardat Manchare

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Thank you very much u actually provoke what i wanted.. .this is the learning platform it's not like competition, and it's like unajaribu watu, ,,muulizaji anatakiwa aulize kwa kua hajui na anataka kufahamu sio kutoa unachokijua au ulichokikariri ili ujiproud shame on you Baba D.. .ukute mtu...
Back
Top Bottom