Recent content by HARD BIZNES

  1. H

    Second interview NSSF

    Mimi naamini hawajaita wote. Kuna frend nilikutana nae that day na hawajamwita tena this second time. So ukisema wameita tena wote naona kama sio kweli.
  2. H

    Second interview NSSF

    Kwa nilivyoeleweshwa nssf wanafanya haya mambo hivi. Interviews ziko kama ifuatavyo. 1 . General knowledge - written 2 . Fully understanding of the post position an the fund in general - written 3. Oral interview. This will check your confidence. English. And general understanding of the...
  3. H

    HP PAVILION 15-g004AU BRAND NEW LAPTOP FOR SALE

    ⇨dsmprice|Service in your Hands ⇨HP Pavilion 15-g004AU Brand New Laptop ⇨Processor : APU Dual Core Intel® , speed 2.1ghz. ⇨Ram :2GB ⇨Hard disk : 500GB ⇨Price /Bei ni Tsh 580000/ = Warrantee ; One year ⇨CONTACTS: + 255 714 384535 OR 769 622768 ⇨FREE...
  4. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Sawa mkuu ndio mawazo yako hakuna wa kulaumiwa juu ya mawazo yako leo
  5. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Labda kuwadhihirishia kuwa sijaanza leo wala jana. Unaweza search HARD BIZNEZ ....Tangu instagram .. facebook...na hata google....ukifanya hivyo utanielewa vizuri .... Zaidi sana ukipenda kujiridhisha na uzoefu wangu unaweza kutembelea WEBSITE YANGU TUNAYOUZA VITU VYOTE ONLINE ...COMPYUTA...
  6. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Nadhani umeelewa sasa ndugu yangu .
  7. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Labda kuwadhihirishia kuwa sijaanza leo wala jana. Unaweza search HARD BIZNEZ ....Tangu instagram .. facebook...na hata google....ukifanya hivyo utanielewa vizuri .... Zaidi sana ukipenda kujiridhisha na uzoefu wangu unaweza kutembelea WEBSITE YANGU TUNAYOUZA VITU VYOTE ONLINE ...COMPYUTA...
  8. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Sio kwamba nimeanza leo kufanya biashara so nawajua watu wote wanaojua na wasiojua ....na nikiona huruma sana ndio nautumia muda wangu kuwaelewesha wasiojua kama hivi
  9. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Bei sio tatizo hata kidogo. Hii ni biashara na kila mtu anajua maana halisi ya neno biashara. Kwa wahitaji siriaz huwa wanapiga simu na tunamalizana vizuri tuu. Ila kwa kuwa sisi hatuelewi ndio maana tunabaki kukoment hapa hata vile tusivyovijua.
  10. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Tatizo macho yote yanaenda kwenye price / bila kujua hata ubora na mambo yanayosababisha bei kuwa hivyo. Kwa kuongezea tu bei iliyoandikwa sio sheria kuwa kujadiliana na punguzo tunahitaji bunge la katiba kuyafanya hayo.
  11. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Soma nilichokiandika mkuu unaweza kuelewa.
  12. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Nyongeza kwa kuwasaidia ni kwamba bila ten milion 10 mil hii gari hujaigusa . Bado swala la uelewa ni tatizo kubwa sana . Ila nalitambua hilo na ndio maana tunasaidiana kueleweshana ilihali wote sie niwatanzania
  13. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Hii ni moja kati ya magari ambayo matumizi yake ya mafuta ni very minimum. Haya ndio magari ambayo bei zake kwa sasa zipo juu kwa sababu hiyo tuuu.
  14. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Zaidi ya hayo kwa kuwaelewesha tu
  15. H

    Suzuki KEI USED car FOR SALE

    Tatizo lenu wooote hakuna anaejua bei halisi ya hii gari. Tatizo kubwa letu watanzania ni kukoment hata kitu tusichokijua vizuri. Nadhani busara ni kama hujui kitu acha tu kipite. Sio lazima uchangie kila unachokiona machoni pako hata kama hujui. Niushauri tu ndugu zangu
Back
Top Bottom