Recent content by Harambeeta

  1. H

    Balozi wa Marekani na Uingereza mmetukosea sana Watanzania

    Nani katunga sheria inayosema Rais na Serikali wawe answerable kwa USA na uingereza? Wao ni nani? Wamekuwa Mungu?
  2. H

    Serikali haikosi wapinzani na wakosoaji, inapasa kuzoea na kusonga mbele

    Serikali itakuwa imefanya makosa makubwa kutowashughulikia wakosoaji/wapinzani wanaobadilisha uongo ili kuwa ukweli li kufanikisha ukosojia wao huo na huku wakilipwa na watu wenye nia mbaya ya kusambaratisha taifa na juhudi zake za kimaendeleo. Kuto washughulia hawa ni sawa na kuto...
  3. H

    Balozi wa Marekani na Uingereza mmetukosea sana Watanzania

    Rais JPM na serikali anayo iongoza wasipoteze muda kuwajibu hawa wapuuzi. Hizi ni chokochoko wakitaka kuingiza serikali kwenye malumbano ya maneno na vita ya poropoganda hatimaye machafuko.. Walikata misaada yao wanaona siku zinasonga na mambo yako hot yanaendelea mbele. Wakatangazia ulimwengu...
  4. H

    Ukweli wa Erick Kabendera ndio huu

    Askari kanzu asipovaa kanzu ni makosa? Kitambulisho ndicho muhumi kuliko kanzu.
  5. H

    Elibariki Kingu (Mb): Balozi wa Marekani ni mpuuzi, mikono yenu inanuka damu

    Njia pekee na ambayo mpaka mida hii imefanikiwa ni JPM na serikali yake kutojibizana kwa maneno na hawa watu na vibaraka wao, ndicho wakitakacho.
  6. H

    Rais Magufuli anapenda sana kuvaa kijeshi. Asalimiana na Viongozi wa kikosi cha Wanajeshi 238

    Huo mkono wa JPM ukofit kaitendea haki hiyo jezi ya fatiki ya RSM. Kila mara amekuwa akivaa uniform za administration police na zinazo fanana na hao wasaidizi wake, leo kao atoke kivingine.
  7. H

    Kitila Mkumbo: Mafanikio na utata wa Membe kidiplomasia

    Alipoulizwa kuhusu milipuko ya mabomu Mbagala na Gongolamboto alijibu nini?
  8. H

    Kitila Mkumbo: Mafanikio na utata wa Membe kidiplomasia

    Misaada hii ya kulishwa sindano rungu na kujisadia mtarimbo.Watanzania wakageuzwa mazezeta ya kucha kutwa kujadili muundo wa gari linalo wabeba Bush na Obama. Wakaacha kujadili bei ya umeme wa Symbion na mikataba ya makanikia. Wakaambulia vyandarua vya kulazimishiwa kuchukua hata kama huhitaji...
  9. H

    Kitila Mkumbo: Mafanikio na utata wa Membe kidiplomasia

    Wafanyabiashara wengi waliongia hapo hakuna fursa waliyopata zaidi ya kutoka na hadithi za kusimulia huku uswazi jinsi Obama alivyokuwa mrefu
  10. H

    Wanasiasa sasa waiogopa Taifa stars, wakaa mbali!

    Kwa vile Rais JPM ameamua kumuenzi JK Nyerere kwa vitendo basi achukue muda kujua kwa nini Nyerere hakuwa na mpango wa kihivyo na soka la Tanzania. Hamna mahali ambapo ni rahisi kwa mahasimu wako kukuhujumu kama kupitia soka la Tanzania. Kumejaa fitina na uswahili mtupu huko kwenye soka na...
  11. H

    Mpaka msimu wa kuandaa mashamba unafika, pamba ya msimu uliopita bado haijanunuliwa!?

    Acha uongo kwa Wasukuma kipindi hiki ni msimu wa ngoma ya chagulaga. Maandalizi ya mashamba ni mwezi wa oktoba.
  12. H

    Nashangaa Jumuiya ya Kimataifa wanasubiri nini kuhusu Rais Magufuli na utawala wake?

    Mudorata hebu tuwekeeni clip ya picha mwendo ya mabalozi yule mama wa uk na baba wa USA walivyokuwa wanacheka na kutabasamu wakimfurahia JPM akitoa hotuba siku ile ya kuzinduliwa kiwanda cha MO hapo kurasini Daisalama. Mpaka wananchi hapa Isukamahela wakawa wanasema iishi wazungu waliipandika.
  13. H

    Zitto Kabwe unapompambania Erick Kabendera mkumbuke na Juliet Dorie Kulangwa anayeshikiliwa na Polisi Italia

    Wakati huo akiwa hajala ya mbuzi akaota mapembe na kuonja asali akachonga mzinga.
  14. H

    Serikali iwe makini na makampuni ya kamari kuhusu usalama wa nchi

    Mpaka siku sisi Tanzania kama taifa tugundue china ni jini subiani la kutunyonya damu tutakuwa tumesha chelewa sana. Hata ulinzi wetu ni kama nusu rehani mchina.
Back
Top Bottom