Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 644
- 1,482
Nimepata mashaka sana na mtandao mkubwa wa hadi vijijini wa hizi kampuni za kamari tena zikiwa ni kutoka nje ya nchi.
Makampuni mengi makubwa ya kutoka nje ya nchi hasa nchi zilizoendelea huongozwa na wanajeshi au watu wa usalama kutoka nchi husika. Hii ni kwasababu huwa na ajenda ya biashara lakini pia ajenda ya upelelezi kwa manufaa ya nchi zao.
Sasa hizi mashine za kamari hadi vijijini tena nchi nzima zikiwa na wageni tena wa kutoka nchi moja na magari yao na simu zao za smart phone mimi binafsi naona ni hatari kwa usalama wa nchi yetu.
Nawaza tu kwa sauti.
Makampuni mengi makubwa ya kutoka nje ya nchi hasa nchi zilizoendelea huongozwa na wanajeshi au watu wa usalama kutoka nchi husika. Hii ni kwasababu huwa na ajenda ya biashara lakini pia ajenda ya upelelezi kwa manufaa ya nchi zao.
Sasa hizi mashine za kamari hadi vijijini tena nchi nzima zikiwa na wageni tena wa kutoka nchi moja na magari yao na simu zao za smart phone mimi binafsi naona ni hatari kwa usalama wa nchi yetu.
Nawaza tu kwa sauti.