chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,996
- 20,644
Nimeshtushwa sana na suala hili!
Naangalia TBC sasa hivi,namuona Waziri Mkuu akiwa na wanunuzi wa pamba wanapanga jinsi ya kukopa ili wanunue pamba ya wakulima!
Hii hali ikoje? Kama mazao yanayoleta fedha za kigeni, korosho na pamba yamekwama,zao lipi litaziba gepu? Kwa nini wafanyabiashara hawakununua pamba? Je wana sababu za kibiashara, lakini serikali imewaambia wanunue kwa sababu za kisiasa?Nani anadhamini mikopo ya wafanyabiashara hao katika mabenki?
Mkulima atabaki kuwa mnyonge na masikini
Naangalia TBC sasa hivi,namuona Waziri Mkuu akiwa na wanunuzi wa pamba wanapanga jinsi ya kukopa ili wanunue pamba ya wakulima!
Hii hali ikoje? Kama mazao yanayoleta fedha za kigeni, korosho na pamba yamekwama,zao lipi litaziba gepu? Kwa nini wafanyabiashara hawakununua pamba? Je wana sababu za kibiashara, lakini serikali imewaambia wanunue kwa sababu za kisiasa?Nani anadhamini mikopo ya wafanyabiashara hao katika mabenki?
Mkulima atabaki kuwa mnyonge na masikini