tena mapenzi ya dhati nani anaweza kufanya kama wanaarusha wamekesha cku tatu kutetea haki yao pale Themy wanapigwa mabomu kila cku na polisi lakini wako na chama chao hao wengine wataweza hiyo
acha ushamba wewe majambazi wawe wote hao basi tz imeisha halafu nani anajiamini bungeni hata anapowasilisha au kutetea hoja acheni hizo lema ni jembe muacheni chali wa R amekuja kuwashika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.