Recent content by happymalya

  1. H

    Mbowe atuhumiwa kuhamisha mabilioni

    hahahhahhah mbowee ata mshinda mpk lowassa kwa utajiriii baada ya uchaguziii
  2. H

    Ahadi za Rais Joseph Pombe Magufuli awamu ya tano, 2015 hadi 2020

    Huku zikiwa zimebaki siku 10 kabla ya kufikiwa kwa siku ya uchaguzi mkuu Oktoba 25, wagombea urais wanaochuana kwa karibu kutokana na wingi wa watu wanaojitokeza katika kampeni zao, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
  3. H

    Mkutano wa Mgombea Urais wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Kisarawe

    kwan wingi wa watuuu ndo kushindaa?
  4. H

    Hivi Magufuli ameshawahi kugusia suala la "ESCROW"

    unataka agusiee ili iweje? kwan LOWASSA amegusiaaa???????????
  5. H

    Mazungumzo ya Mswahili na Juliasi Nyerere

    hamnaa atakaye kuwaa kama nyerere kamweee
  6. H

    Kutoka Dodoma: Sherehe za Kilele cha mbio za Mwenge, Rais Kikwete ahutubia

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amewataka wananchi wote wenye haki ya kupiga kura kuhakikisha wanaheshimu maagizo ya Tume ya Uchaguzi ya kuwataka waondoke katika vituo vya kupigia kura mara baada ya kumaliza zoezi la upigaji kura. Rais Kikwete Amesema kuwa...
  7. H

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    hahahahhahahha chadema sikuzote ni watu wa kukurupukaaa..... hawaelewi mada wanajibu tuuuuu
  8. H

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    tuwaonee huruma maana tareh 25 oct, kwisha habari yaoooo
  9. H

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    hahahhahahhahhahaha LOWASSA kaja kupita tuuuuuu mtaona akishinda MAGUFULI atavyowakachaaaaaa apo hatafuti chama anatafuta maslah yake binafsi amezimic pesa za Esrow hahhahhahahah ajazishika mdaaaaa anaisoma tinga tinga atawakomesha...
  10. H

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    hahahhahahhahah mbona mjiongeziiii
  11. H

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    hapa atoki mtuuuu ccm ndo chama kilichotuleaaaa....... tinga tinga ndo habari ya mjini
  12. H

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    pia wanaogopa MAGUFULI akiapishwa tuuuu kwanzaa atashughulika na mafisadi afu awo woteee atawekwa ukooo.....
  13. H

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    wanaogopa kuwa kwenye chama kisichoelewekaaa.....
Back
Top Bottom