Recent content by Happsonhtml

  1. H

    Aliyesoma uchumi hata kwa ngazi ya Astashahada atakubaliana na Mimi kuwa Magufuli aliua uchumi wa Tanzania

    Kwa hiyo sasa umeimalika siyo, tatzo hata uchumi walio soma ndio masikini wengi, wao ulishawahi jiuliza ni kwann? Kuna wakati ya darasani huwa hayana uharisia na maisha yetu ya kila siku hasa kwa jamii za kiafrika.
  2. H

    Kati ya Israel, Vatican na USA ni Nani mtawala wa ulimwengu huu?

    Kiongozi kumbuka wayahudi waliopo ni wale walio hifadhiwa na kanisa la rumi kipindi cha Adolf hitira hivyo nao ni zao la rumi ko rumi ndiye baba wa machafuko yote kwa kutumia washirika wake kama USA
  3. H

    Hizi ni stori za kwenye Biblia ambazo zimeniacha na maswali sana

    Kusema ukweli ni lugha hasa ndo imekuwa changamoto lakn pia biblia ukitaka kusoma usisome kama gazeti la udaku omba uwepo wa MUNGU
  4. H

    Kati ya Israel, Vatican na USA ni Nani mtawala wa ulimwengu huu?

    Haaaa kwani ndiye kaandika biblia kiongozi au husomi hiyo biblia
  5. H

    Kati ya Israel, Vatican na USA ni Nani mtawala wa ulimwengu huu?

    Hapo hakuna mama white,wewe soma kama una undani pia tusaidie pia
  6. H

    Kati ya Israel, Vatican na USA ni Nani mtawala wa ulimwengu huu?

    SOMA HICHO KITABU KWA MAARIFA ZAIDI KUHUSU HOJA ZAKO
  7. H

    Maisha bila Mungu yamekuwa ya amani na furaha

    Yuda 1 19 Watu hao ndio waletao matengano, watu wa dunia hii tu, wasio na Roho.
  8. H

    Wakili Msomi Mwabukusi anza na shambulio la Lissu na kupotea kwa Ben Saanane

    Hivyo aweke pembeni Kuna mengi hasa aliyoahidi
  9. H

    PreGE2025 Ushindi wa Boniphace Mwabukusi unatupa matumaini huenda 2025 CCM ikaondoka kwa kishindo

    Mnatanguliza sana uchama zaidi mimi si mtu wa chama ila ni mtu ambaye nachagua kiongozi kutokana na uwezo wake na si chama ninyi shida ni ushabiki wa vyama
Back
Top Bottom