Recent content by Haparahatu

  1. Haparahatu

    Prof Kabudi: Kati ya pesa na heshima ya nchi yetu, tutasimamia heshima. Tuko tayari kuwasikiliza na kujadiliana kwa heshima

    Mpuuzi tu hana maana yoyote. Misaada mnapenda sana kila Head of state akija mnaomba misaada. Hata hio aid ya EU for Covid mlificha, serikali haina uwazi kabisa.
  2. Haparahatu

    Magufuli’s post presidency...

    I strongly believe that Magufuli will stay beyond the 10 year period prescribed in the constitution. Definitely, the current constitution will be amended to accommodate his prolonged ambitions. He has consolidated his powers and treated "God like" by CCM members. The elections of 2020 did not...
  3. Haparahatu

    Ushauri wangu kwa ACT Wazalendo na Maalim Seif

    Kama ACT Wazalendo wakikubali basi itakuwa wameeka mbele matumbo yao na haina haja kuwa na viongozi wanaotaka madaraka kuliko haki za watu.
  4. Haparahatu

    Habari Mbaya: Mkurugenzi wa Meatu achomewa nyumba yake, yote yateketea

    Huo ni moto wa aina usiyojulikana
  5. Haparahatu

    GE2020 Uchaguzi Mkuu 2020 ulikua Huru na Haki

    CCM ni jipu na huyo mtumbuaji majipu ndio amekua jipu kubwa inabidi na yeye atumbuliwe. Mtu ambaye hana akili ndio anaweza kusema kama huu uchaguzi ulikuwa wa haki. Nchi imegawanyika na hii ni hatari kubwa.
  6. Haparahatu

    GE2020 Dar es Salaam: Watu watatu zaidi wakamatwa kuzuia maandamano

    Mimi niko upande wa haki na pia kiukweli sijawahi kuwa mtu wa siasa ila unapoona haki haitendeki inabidi nikemee ndio vitabu vyote vya dini zinavyosema. Dozi haitokolea kwangu ila vizazi vinavyokuja ndio vitaangamia wakati kundi la watu fulani ndio litapata manufaa, usawa utakuwa haupo...
  7. Haparahatu

    GE2020 Dar es Salaam: Watu watatu zaidi wakamatwa kuzuia maandamano

    Kuna wakati Humphrey polepole alikuwa anahojiwa akasema kama China kuna democracy basi nikajua tumemalizika kama taifa. Tutakuwa Taifa la majuha kila siku utaona press conference za kumpomgeza JPM.
  8. Haparahatu

    Nguzo za Nchi Bye Bye

    Nguzo za Nchi bye bye Chama cha CCM kimeshinda kwa kishindo uchaguzi wa 2020. Kama ndio hivyo basi, kupeleka majeshi Zanzibar pamoja na baadhi ya maeneo ya Tanzania bara yenye upinzani ni ishara kubwa kuwa haki za watu zimepotea. Nimefikiria sana tunaenda vipi mbele kama Taifa. Baba wa Taifa...
  9. Haparahatu

    GE2020 Kitendo cha kuzima mitandao ya kijamii kitawagharimu kura nyingi sana CCM

    CCM imeipeleka nchi hii katika hali mbaya sana and kuweka wananchi kwenye giza kwa kusingizia amani. Vyombo vya habari havina ueledi tena na vitabaki kueneza propaganda za CCM, Mawazo and maoni ya watu pamoja na vijana yamekandamizwa kwahiyo tutakuwa taifa la uchwara kwa vizazi vinavyokuja, watu...
  10. Haparahatu

    GE2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

    China ndio wanyonyaji wakubwa Africa. Hawana mpango kabisa.
  11. Haparahatu

    GE2020 EXCLUSIVE: Maswali kwa Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kutoka kwa Watanzania watumiao mitandao ya kijamii

    Mh Tundu Lissu naomba nitoe shukrani kwa kutupa nafasi hii ya kuuliza maswali. Mimi ni katika watu ambao wanakuunga mkono na ningependa utoe ufafanuzi katika maswahili yafuatayo: 1. Serikali ya awamu ya tano imeanzisha Miradi mikubwa sana kama SGR na Nyerere Hydropower Dam. Mikopo ambayo...
  12. Haparahatu

    GE2020 Yawezekana kampeni za Lissu zikawa za kipekee kwenye ulimwengu wa vyama vingi duniani

    Lissu amewafumbua watu macho na pia ni mtu ambaye ana msimamo. Wenzetu inaonesha wameanza kubabaika kweli, wamechanganyikiwa sana na kazi yao kutumia polisi ila mwaka huu itabidi kieleweke tu.
  13. Haparahatu

    GE2020 NEC imekubali rufaa nyingine 13 na kurejesha wagombea, rufaa nyingine 14 za walioteuliwa zimekataliwa

    Lazima wote warudishwe, hii inaonesha ndiyo ilikuwa makusudio yao ya kuwatengua halafu kurudisha wachache ili wabadilishe baadhi ya majimbo........huo ujanja umepitwa na wakati
  14. Haparahatu

    GE2020 Tuikomboe Tanzania kupitia Lissu, hakuna nchi Duniani ina mifumo miwili ya lugha za kufundishia

    Mh Tundu Lissu ameongea ukweli ila mfumo kama huu uweze kufanikiwa inabidi waalimu wa shule ya msingi wapewe mafunzo ya lugha ya kiingereza. Nchi nyingi wanasoma lugha zaidi ya moja kuanzia primary. Mfumo mzima inabidi ubadilishwe lakini sidhani hiyo itakuwa agenda ya Rais Magufuli maana yeye...
  15. Haparahatu

    GE2020 Ilani ya CCM 2020: Mkitupa kura ndani ya miaka 5 tutatengeneza ajira milioni 8

    CCM wako madarakani tangia mwanzo wa muungano. Kama mafisadi basi wamekuwepo katika kipindi chao, kama mikataba mibovu basi ni wao naweza kusema maovu yote yanayopingwa yametokana wakati wao na sasa tunaambiwa wanajenga barabara, madaraja na miondombinu mbalimbali wakati huo huo wapinzani...
Back
Top Bottom