Acheni upumbavu nyie tucta, hivi mna akili kweli nyie! Yaan tuvumiliw watoto wazidi kukaa chini, akina mama wajifungulie majumbani kisa Tucta! Sh....type! Kwanza huyo msemaji wa tucta anatafta kiki tu. Huna jipya mzee tuliza kalio sindano ikuingie. Kumbuka rais ashasema na yeye ndo final
Mtoa mada wewe ni mpumbavu kabisa, kichwani u ziro. Hiv mfano huyo rais wa vietnam i a maana hajui kiingereza mpaka jana akaongea kikwao? Jifunze kutukuza na kuthamini luga yako mburura ww. Kwani kizungu ndo akili au? Je hao walotangulia unaodhani walikuwa wanajua kizungu walitufikisha wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.