Recent content by Hapahapa

  1. H

    Mbona Serikali inasema Benki ya NMB ni ya umma lakini CEO/MD ni mkaburu? Tunaficha nini? Faida inaenda wapi?

    Tanzania Government in Share 48% katka Capital ya NMB kwahivyo 52% Share Capital inamilikiwa na Shareholders wengine kwahivyo jiulize This is PUBLIC or Not .Lakini kitu chochote kinakuwa cha Umma kinapokuwa Listed katika Soko la Hisa yaani DSE kwa tafsir hii NMB ipo kwenye soko la hisa so this...
  2. H

    Mbona Serikali inasema Benki ya NMB ni ya umma lakini CEO/MD ni mkaburu? Tunaficha nini? Faida inaenda wapi?

    PEOPLE'S BANK OF ZANZIBAR (PBZ) ni Bank ya Umma kwa asilimia 100% mtaji wote unamilikiwa na SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR allthough CURRENCY AND BANK is TANZANIA UNION ISSUE kwa ujue sio Twiga na Postal Bank ni Bank za Umma pekee
  3. H

    Tetesi: TBS wamesema mzigo huo ni mafuta ghafi (crude oil), wakati TRA wanadai ni 'semi-refined'.

    TBS anasimamia Viwango na Ubora wa bidhaa zote zinazozalishwa nchini na zinazoingizwa nchini na jukumu la TFDA ni kusimamia Usalama kwa mtumiaji kwa bidhaa za chakula na madawa
  4. H

    Huyu hana adabu kabisa! Amuita Waziri wetu " Profesa aliyerukwa na akili, mwendawazimu", ndani ya BLW na kuachwa tu?

    Soma Sura ya Nne ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SEHEMU YA TATU BARAZA LA WAWAKILISHI LA ZANZIBAR Ibara ya 106. Ibara ndogo ya (1), Kutakuwa na Baraza la Wawakilishi la Zanzibar. Baraza la Wawakilishi litakuwa na sehemu mbili; sehemu moja itakuwa ni ya wajumbe wa Baraza hilo...
  5. H

    Mwenyekiti wa CCM, Dr. Magufuli ateua tume ya kufuatilia mali za chama nchi nzima, Msando apewa shavu

    Naomba mniulize kwa Mheshimiwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania hii CCM imetokana na TANU tu! Sioni sura za ASP yaani Uwakilishi wa Upande mwengine wa Muungano wetu Mtukufu wa Kipee Duniani Mungu azidi Kuulinda au Hawa Wazanzibari ni Vilaza sana hawana elimu ya kuwa ya kuwateua...
  6. H

    Je, David Kafulila kuwa Katibu Mkuu mpya wa UVCCM?

    Katiba ya UVCCM na CCM inaruhusu Katibu Mkuu wa UVCCM kuwa na zaidi ya 35+
  7. H

    Sheria ya utumishi wa umma ikoje juu ya umri wa Dkt. Slaa?

    Mkuu hapo umeteleza Mabalozi wengi waliteuliwa wakati wa Kikwete ambao hawakuwa watumishi wa Umma lakini Mkuu aliwarudisha nyumbani sababu moja ni umri wa kustaafu
  8. H

    Elimu ya Msingi sasa Miaka 6

    Wazanzibar wao toka 2014 wameanza kuitumia kwahivyo wao hakuna kitu Standard seven kitambo sana so wametutangulia
  9. H

    Prof Lipumba amtaka Maalif Seif kuripoti Buguruni kupokea maelezo kutoka kwa Mwenyekiti

    Chama ni cha Watanzania wote sio Chama cha Wapemba Sent using Jamii Forums mobile app
  10. H

    Waliofurahi na kucheza Bunge la Katiba ndio wanaolia leo na maamuzi ya CAF

    Sababu za Rais wa CAF kuifuta uanachama wa CAF Zanzibar kwa misingi ya kutokuwa mwanachama wa UN na AU naamini amekurupuka angeangalia Mashirikisho makubwa kama UEFA na FIFA wanachama wake wanavyopatikana mfano UNITED KINGDOM (England, Wales,Scotland na Northern Ireland ) ni mwanachama wa UN...
  11. H

    William Ngeleja arejesha fedha za mgao wa Escrow kiasi cha Tsh Milioni 40.4

    Alichokifanya ni jambo jema sana sababu binaadamu kama umekosea jirudi na uombe radhi hata maandiko yote Matakatifu Quran na Bible yanaeleza hivyo. Alichofanya ni jambo zuri kwa Taifa, Chama chake, Wapiga kura wake, Familia yake , yeye binafsi pamoja na Professional yake ya Sheria. Mimi nampa...
  12. H

    Nani kumrithi Waziri wa Nishati na Madini Prof. Muhongo?

    Alichokifanya ni jambo jema sana sababu binaadamu kama umekosea jirudi na uombe radhi hata maandiko yote Matakatifu Quran na Bible yanaeleza hivyo. Alichofanya ni jambo zuri kwa Taifa, Chama chake, Wapiga kura wake, Familia yake , yeye binafsi pamoja na Professional yake ya Sheria. Mimi nampa...
  13. H

    Kuna wazungu, Waarabu, na wahindi ambao ni Watanzania

    Tayari Kamanda Mkoa wa kipolisi Ilala na MKUU wa kikosi cha FFU mstaafu Bwana ACHUTAN ni Goa na Kamanda wa mstaafu wa Mkoa wa Dodoma
  14. H

    Simuungi mkono Malinzi lakini sijaona wa kumng'oa

    Ally Mayay Tembele ni binadamu aliyebarikiwa kipaji cha Uongozi. Ondoa hayo mambo ya Uchambuzi au alikuwa mchezaji wa Yanga na Stars. Kipaji chake cha Uongozi mfuwatilie kwenye Shule na Vyuo alivyosoma utaona bila shaka wanafunzi wenzake watakavyomzungumzia. NA upande mwengine Ally Mayay aliwahi...
Back
Top Bottom