Endeleeni kutuona MAFALA tu, UHAINI ninyi unaujua. Watoto km hao UHAINI huo wanautoa wapi? KENGE NINYI, mnapewaje vyeo kwenye Taasisi nyeti km hizo ninyi wajinga?
DPP unaitumia vibaya OFISI ya umma kwa maslahi ya watu wachache????? Foolish 😭😭
Na wakubali kukosolewa:::: all in all tunawataka MLAY, MBISE, CHAULA, MDUDE, LISSU na wote waliopotekwa na kupotezwa warejeshwe wakiwa HAI
Na serikali itoe TAMKO kukomeshwa tabia hii ya KISENGE ya kutekana tekana.
Kazi ya serikali ni kusimamia na kudumisha HAKI ZA BINADAMU na siyo huu...
Wakora wanaweza kuingia kupitia upande wowote ule na watz wakawapokea.
Watafanya hivyo kwa kuwa HAKUNA TENA UMOJA WA KITAIFA, UZALENDO, UONEVU ULIOKITHIRI WA SERIKALI KWA VYAMA VYA UPINZANI NA WOTE WANAOTUMIA HAKI YAO YA KIKATIBA KUTOA MAONI NA FIKRA MBADALA JUU YA MWENENDO WA TAIFA LETU
Si vema kusema hivyo, Kwan waziri mkuu alisema nchi hii haiongozwi kibabe, sasa kakosa nini hadi azuiliwe kwenda U.S.
Kwani yeye ni BASHITE hadi azuiliwe kwenda kule? Waache mambo ya kishamba bhana.
Watu wana mishe zao kule, acha wajichanganye
Kuelekea UCHAGUZI MKUU kila waliotutenda katka miaka hii baina ya 2015-2020 watajifanya watu wema sana mbele ya sisi wavuja jasho a.k.a WANYONGE kama mzee anavotuita Mara baada ya kututia UNYONGE alipoingia madarakani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.