Recent content by hans ngowi

  1. H

    The difference between Toyota VVTI and D4 Engines

    Inawezekana kufanya hivyo ila kuna mambo yakuzingatia kabla yakubadilisha engine. 1 zingatia ukubwa na uzito wa body ili engine utakayoweka isiwe ndogo zaidi. 2 zingatia mfumo wa umeme na aina ya engine unayoitaka. Kwa ushauri na wataalamu wa Toyota, karibuni super kitasa Jr motor,tupo sinza...
  2. H

    Wenye magari: Mnaibiwa sana kwenye petrol station

    Siyo kweli kaka,unachotakuwa kuhakiki ni lita zinazosoma kwenye pump ndiyo halali yako,muudumu hawezi kukuibia kwa kupunguza pressure ya mafuta hufanya hivyo ili yasitoke kwa kasi,inayofanya kutengeneza povu kwenye tank.
  3. H

    DC Mnyeti: Nilichangia mchango wa harusi diwani aliyehamia CCM kama ambavyo nimekuwa nikiwasaidia madiwani wengi CHADEMA

    Kwani mbona video inajieleza nae anatoa maelezo tofauti. Video zinaonyesha alivyokuwa anamshawishi diwani kwa kumrubuni kwa kazi na 2m ambayo bado walikuwa wanapatana,hayo ndiyo matatizo ya jimbo? Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
  4. H

    Bunge lapitisha Muswada wa sheria ya huduma za habari, 2016 (the media services bill, 2016)

    Tujiandae kukosa habari za kukosolewa kwa serikali,sasa tutakuwa tunasoma mazuri ya serikali. Wabunge wakijani waajabu sana, cjapata kuona jamii ya watu wa aina ile wanao lazimisha ubaya kuwa uzuri. Wingi wao ndiyo mateso kwa wananchi hawana jipya Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom