Je, endapo aliyempiga risasi ni nduguzake wa ukawa utaongea nn we unaonekana ni mtoto wa mama kula kulala unaufinyu wa kufikili kunamambo huwez yatolea maelezo kama ww ndo muhusika vile afu nani kakwambia upelelez umeisha juu ya ilo sakata embu kaa kimya kama huna hoja yamashiko yakuongea be...
Tatizo la vijana wa ukawa mnakuwa na upeo finyu sana nyie kila kitu kwenu nibaya kipi kizur so embu niambie nn faida akishauweleza ulimwengu labda atapata nn mana kama mnawajua au unawajua kwann usiende mahakaman au central ukawa witness wahusika wakamatwe mana unamtaja mtu utafikil ulikuwa naye...
.... Lisu ni popoma huwez sema kilajambo serikali wanalofanya kwako nibaya hakuna kitu kama icho yapo mema mengi tu serikali yetu pendwa wamefayafanya na wanayafanya sikatai upinzan kaz yake ni kuikosoa serikari iliyo madarakan lakin kwa Lisu imekuwa too much sasa ifike kipind ajue yy ni...
Jaman msiponde sana chombo chetu cha utangazaji cha taifa maana ndiyo icho icho tuna chojivunia nakuwanacho nichataifa chakwetu so tutoe maoni nn kifanyike na nn kiongezwe au kipi kipunguzwe
Star times nimewachoka king'amuz chenu nikikiwasha kinanibusu kila muda tu nawakati nakuwa nimelipia kifurushi cha mwez walau nicheki taarifa ya habari ya bei yakorosho signal nishida yan boreshen miundombinu yenu ya mtandao watu tupate raha mustarehe
Nyumba nzuri ndio ila marekebisho madogo sana kwenye paa japo haipendez kumpangia bei aliyeijenga endapo ataona hapati wateja I hop atashusha from 500K to 300K or 400k
Boss lady we kwan fisi Hahaaa demu unakula kongoro tena kwato ya beberu mweee utaota 9t ww kula main malain iv
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.