Recent content by Hanang1

  1. Hanang1

    Maamuzi ya Seif na wenzake yana madhara makubwa kwa CHADEMA, tuache kujifariji!

    Tupo field siasa za kwenye keyboard zinakupotosha.
  2. Hanang1

    Prof. Lipumba: ACT-Wazalendo imeongeza damu yenye virusi ikidhani ni damu salama

    Paskali wewe ni mnafiki wa kiwango cha SGR
  3. Hanang1

    Natamani Mbunge wangu akubalike kama Nassary

    Nassari sio wa kutetewa katika hili.
  4. Hanang1

    Nassari amwambia Ndugai, ubunge hauondoi ubinadamu au majukumu ya kifamilia, hajutii kufukuzwa ubunge

    Nassari kwa hili hajaeleweka,chama kimvue uanachama,kuna hidden agenda ambayo anaificha.
  5. Hanang1

    Prof Lipumba aitangaza safu ya Makatibu Wakuu wa CUF Taifa

    Mazwazwa wa Lumumba hamuwezi tuamulia kiongozi.
  6. Hanang1

    Kuna orodha ndefu ya Wabunge wa CCM hawajahudhuria vikao 3 vya Bunge na hawajafukuzwa...!!

    Sawa ila Nassari msanii kaunga juhudi kimtindo,CDM sijui kwnn inakua hivi
  7. Hanang1

    Uongozi CHADEMA umeshindwa kusimamia chama

    Jacob hafai mkuu BONGO LALA sio mtu smart ana mihemko sana
  8. Hanang1

    Uongozi CHADEMA umeshindwa kusimamia chama

    Sio mgao mkuu,unafiki alikua anamwona Dkt.Slaa ndio CDM,ukweli ni kwamba chama hiki kimo mioyoni mwa sisi vijana kwa wingi wetu hata Mbowe akiunga juhudi tupo imara na nikuhakikishie tupo vijana ambao tumeanza under ground movement na tumeplant vijana wengi ndani ya CCM mda utasema just wait.
  9. Hanang1

    Uongozi CHADEMA umeshindwa kusimamia chama

    MTAZAMO Mzee Mwanakijiji kawa mnafiki,tangu ngosha aingie ni kusifu tu sijui kwa vile ni home boy au swahiba wake Slaa ndo kamuathiri.
  10. Hanang1

    Uongozi CHADEMA umeshindwa kusimamia chama

    Mzee Mwanakijiji tangu aingie ngosha mwenzie yote mema kwake lakini pia alikua muumini wa mzee Slaa
  11. Hanang1

    Je, kauli ya Kingunge kuwa CCM imeishiwa pumzi inaanza kueleweka?

    Wadau,kila napofuatilia ccm inalazimisha kupendwa wakati ukweli ni kwamba watu hawana imani nayo.Chadema inaungwa mkono na wananchi wengi,tatizo viongozi hawafanyi kazi.
Back
Top Bottom