Bro sorry naomba unielekeze jins ya kurenew name maana wakt najiunga jf. Nimetumia real name sasa km unavyojua kukua kwa social media mtu unakua hauko huru hasa humu jf...naomba msaada wako km hutojali
Hata mimi unafikiri nambeza? kweli kuna mambo mengine nimeyapata kupitia kwake,angalizo langu ni kuwa "Si yote anayoandika yana ukweli"<br />Ukinielewa hapo,hutaandika lugha ya kuudhi sbb utakuwa umeelewa msingi wa hoja.Hata hivyo Asante kwa kuja......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.