Hizi naona ni habari za watu wasioamini (au hawaamini kabisa kuwa ndg au rafiki yao anaweza kufa hivihivi tu). Kwa kutoamini huko ndg wa wafiwa huendelea kutafuta (kwa waganga) nini sababu ya kifo.
Mganga kwa kuelewa upungufu wa imani yao wengi huambiwa ndg yao bado mzima ila amewekwa msukule...
Hamjamaliza, mimi huwa sielewi wanaposema hivi; una adabu (akimaanisha huna adabu), abali (habari) awapo (hawapo). niliamini radio Mlimani (sijui radio hii mmiliki wake ni nani maana nimeambiwa haimilikiwi na chuo kikuu (UDSM)itakuwa na watu makini, lakini wee huko usiseme ni shida zaidi...
(After School Bash) ni tamasha wanafanyiwa wanafunzi kama kilivyojieleza kichwa cha habari. Je yanayofanywa kule yana faida kwa hao wanafunzi? Clouds hawana tofauti na wauza unga (huenda ndio wanaofanya biashara hiyo), wanawauzia wanetu baadae wanasema wazazi hatukuwapa malezi mazuri wanetu. Wao...
Hapo umewamaliza, sasa hivi elimu imedidimia. Utakuta mtu hapandi daladala mpaka aambiwe linaenda posta wakati limeandikwa usoni na ubavuni. Basi la Kimara - Posta anauliza kama linafika Manzese.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.