Chuo cha usimamizi wa fedha (ifm) kupitia tume ya uchaguzi imemtangaza bwana Clinton kuwa rasi mpya wa wanafunzi sambamba na makamu wake Maro maro kwa mwaka 2014/2015. Hivyo kuapishwa rasmi siku ya jumatatu tarehe 09/05/2014 maeneo ya ifm. Kwa pamoja tumpe pongezi na kumtakia kila la heri katika...
Kwani kakobe ni mungu? Acheni kupenda kujiweka kimbele mbele yanayohitaji taaluma haiwezi kupeleka mambuzi katika mambo nyeti ya kitaifa. Yeye kamaanataka posho aseme apewe na c kuleta porojo zake za kipuuzi..
Safi sana mkuu unajua hawa madesa waliokuwa kama popo hawaelewi chochote kazi yao kufata maneno ya wachaga wa CDM na kuyafata. Viongozi wamechaguliwa juzi leo mnawadhania dhana mbaya. Subirini tija ndo mseme sio kupayuka kusiko na tija.
Matukio haya ni ya kutengenezwa kwa lengo la kuichafua jeshi la polisi na viongozi wake waliyochaguliwa hivi karibuni. Tatizo la watanzania wengi hawachunguzi kwa kina namna habari ilivyotolewa kwa kasoro nyingi sana kama mapolisi kutumia magari yao ambayo inayoonyesha taswira yao. Hivyo tuwe...
Hizi huteuliwa kwa process zinzoendeshwa na kamati ya ulinzi na usalama kinachomshauri raisi kuteua viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama kama jwtz, polisi, Tiss na kadhalika. Hivyo c suala la udini wala upendeleo bali ni uweledi na ufanisi wa majukumu ndio inayopelekea kuwateua wasaidizi kwa...
Hapana bunge la katiba lina uwezo wa marekebisho yoyote yatakayoonwa yanafaa kurekebishwa, pia wananchi watahusishwa kwenye bunge hilo kupitia taasisi, jumuiya, vyama vya siasa, wakulima, wafugaji, wafanyakazi, waajiri na mashirika mbalimbali ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali na mwisho wa...
Hilo ni jambo lisiloyumkinika kwa mwenye akili na muelewa mambo, mswaada wa katiba imeandaliwa kutokana na maoni ya wananchi na kutengenezwa katika muundo wenye kuafiki maoni ya wote ila kama chadema inasema haitaki bac hawakubali maoni ya wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.