Recent content by Hamissi Hamza Jr

  1. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Unamkana Allah, lakini unajiita Mwana Adam?

    SI UISLAM WALA UKRISTO DINI ZOTE NI UTAPELI TU,WAUMINI WANAUZA MUDA WAO KWA MALIPO YA HOFU.
  2. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania DUNIA ITAZIKA WATU WAPI?

    Naomba kuuliza Kuhusu Hili la Kuchomwa,wanaozika kwa kuchoma Baada ya kuchomwa Yale mabaki/Majivu Hua wanatupa au Yanazikwa?
  3. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania DUNIA ITAZIKA WATU WAPI?

    AU imefika Wakati Wa Dunia Kufata/Kuiga Utaratibu Wa Wachina/Wahindi Kuchoma Miili Maana Waliona mbali?
  4. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania DUNIA ITAZIKA WATU WAPI?

    Waungwana Habarini Za Asubuhi Kwamujibu Wa Takwimu za United Nations kwa Makadilio ya Mwaka Huu 2026 Dunia ina Jumla ya Zaidi ya Watu Billion 8.3 Na Inakadiliwa Itafikia Zaidi ya Watu Billion 10 Kufikia Mwaka 2050, Makadilo Ya Sasa Ya Umri Wa Kuishi/Life Expectancy Kwa Dunia Ni Miaka 73 Na Kwa...
  5. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Kwa hili, namsaidiaje binti yangu?

    Chief Kujenga Bond ya Mzazi na Mtoto Hua Ni Utotoni Hasa Below 7,Ikifika 10 na Above Hamna Feeling za mzazi kwa mtoto Ni kazi sana kuzirudisha Labda Kitokee au kifanyike kitu special sana. Hapo Mama Ake Ana kazi ya Ziada,atenge muda Mwingi wa kuwa na mtoto kurudisha Bond nae na Itabidi...
  6. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Alieanzisha utaratibu wa kuvishana pete ni nani?

    Wazo jema mkuu
  7. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Alieanzisha utaratibu wa kuvishana pete ni nani?

    Hawa Wamisri Na Warumi Hasa wa Kale Ni Watu wanaoijua Dunia Vyema,Nadhani walikua na Maana yao kuanzisha hicho kitu.
  8. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Alieanzisha utaratibu wa kuvishana pete ni nani?

    Walikua Na Maana Gani Mkuu?
  9. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Alieanzisha utaratibu wa kuvishana pete ni nani?

    Nadhani Utamaduni Huu Una maana,Nilitamani Nijue Maana Yake.
  10. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Alieanzisha utaratibu wa kuvishana pete ni nani?

    Uliwaza nini Mkuu?
  11. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Alieanzisha utaratibu wa kuvishana pete ni nani?

    😀😀😀 Mkuu kama Kuna kadi Umeletewa uchangie mchango changia tu,Ila Usiweke Matarajio ukiwa Na Jambo lako utachangiwa Utakua Disappointed.
  12. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Alieanzisha utaratibu wa kuvishana pete ni nani?

    Hapana Mkuu ni Sindano
  13. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Alieanzisha utaratibu wa kuvishana pete ni nani?

    Waungwana Huu Utaratibu Wa Kuvisha/Kuvishwa/Kuvishana Pete Wakati Wa Kufungua Uchumba au Kurasimisha Ndoa Ulianzishwa na Nani? Pete Inasimama kwamaana Ya kuwa Mwili Mmoja au Kuelekea Kuwa Mwili Mmoja, Mwili Una mikono Miwili Kushoto na kulia Kwanini Mwanaume na Mwanamke Wote wavae Pete Mkono...
  14. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Hivi unadhani kama dunia ingekuwa na waafrika tupu maendeleo teknolojia ingekuaje?

    Toys Kama Simu,computer, na Smart Device zingine zingechelewa kuja",Ila ingekua Na faida zaidi kuliko Hasara", Ile Taste Halisi Ya Maisha ingekuepo Binadamu tungefurahia Maisha zaidi ya sasa Kwasababu kusingekua na Pressure na panic za Maisha na Ujamaa zaidi ungekuepo".
  15. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Members wa JF baadhi wanafiki sana, wanajifanyaga wako sayari nyingine

    Tiktok Ni Mtandao Wa Walegeza Viuno,Inafikirisha Na Kuleta Ukakasi Sana Mwanaume Kutumia Tiktok.
Back
Top Bottom