Waungwana Habarini Za Asubuhi
Kwamujibu Wa Takwimu za United Nations kwa Makadilio ya Mwaka Huu 2026 Dunia ina Jumla ya Zaidi ya Watu Billion 8.3 Na Inakadiliwa Itafikia Zaidi ya Watu Billion 10 Kufikia Mwaka 2050,
Makadilo Ya Sasa Ya Umri Wa Kuishi/Life Expectancy Kwa Dunia Ni Miaka 73 Na Kwa...
Chief Kujenga Bond ya Mzazi na Mtoto Hua Ni Utotoni Hasa Below 7,Ikifika 10 na Above Hamna Feeling za mzazi kwa mtoto Ni kazi sana kuzirudisha Labda Kitokee au kifanyike kitu special sana.
Hapo Mama Ake Ana kazi ya Ziada,atenge muda Mwingi wa kuwa na mtoto kurudisha Bond nae na Itabidi...
Waungwana Huu Utaratibu Wa Kuvisha/Kuvishwa/Kuvishana Pete Wakati Wa Kufungua Uchumba au Kurasimisha Ndoa Ulianzishwa na Nani?
Pete Inasimama kwamaana Ya kuwa Mwili Mmoja au Kuelekea Kuwa Mwili Mmoja,
Mwili Una mikono Miwili Kushoto na kulia Kwanini Mwanaume na Mwanamke Wote wavae Pete Mkono...
Toys Kama Simu,computer, na Smart Device zingine zingechelewa kuja",Ila ingekua Na faida zaidi kuliko Hasara",
Ile Taste Halisi Ya Maisha ingekuepo Binadamu tungefurahia Maisha zaidi ya sasa Kwasababu kusingekua na Pressure na panic za Maisha na Ujamaa zaidi ungekuepo".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.