Recent content by Hamissi Hamza Jr

  1. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuamua kwenda kupanga na kujitegemea, chumba chako cha kwanza kilikuwa na muonekano gani?

    😀😀😀 ila Gen Z Hapo tayari Derby ya Gen Z Na Millennial inataka kuanza
  2. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Tathimini ya uchumi wa Tanzania 2026 - 2030

    Ndio Uhalisia ulivyojapo wengi hawaependi kuusikia hasa viongozi
  3. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Tathimini ya uchumi wa Tanzania 2026 - 2030

    Mirija ya Uhisani Ishaanza kukatwa Taratibu
  4. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume zikilizeni

    Hakipo Kitu kinacho Guarantee Kumtuliza au kudumu Na Mwanamke Si Pesa Si Mapenzi Si Muda. Ukilijua Hilo hutojiuliza zaidi namna ya kudumu na Mwanamke ila Mwanamke atajiuliza zaidi jinsi ya kudumu Na wewe
  5. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Tathimini ya uchumi wa Tanzania 2026 - 2030

    Inasikitisha Kikundi cha Watu Fulani Kuamini Tumefikia Uwezo wa kubishana Na Big Boys
  6. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Tathimini ya uchumi wa Tanzania 2026 - 2030

    Ukweli ndio Huo Na Wala Haihitaji Microscope Kuliona Hilo,Pia Huwezi linganisha Marekani,China Na Nchi Yetu Hao Wanategemeana Ila Sisi ni Tegemezi Bado
  7. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Tathimini ya uchumi wa Tanzania 2026 - 2030

    Na Bahati mbaya zaidi Hawaambiliki
  8. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Tathimini ya uchumi wa Tanzania 2026 - 2030

    Wakuu Za Wakati Huu Na Hongereni Na Majukumu Ya Ujenzi Wa Taifa Letu". Awali ya Yote Sijajua washauri wa Uchumi Wa Taifa kwa Madam President ni kinani?ila Binafsi naona Move Tuliochagua Kama Taifa Sio sahihi Hasa Kuegemea Zaidi Upande wa China na Urusi kwasababu 1.China Ni Wazee Wa Loans Na...
  9. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Karibu nyumbani Balozi Dkt. Nchimbi. Pia chukua tahadhari, mambo yamebadilika sana

    Uliona mbali Sana Chief
  10. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kusave pesa yako

    Pamoja mkuu kwa Nguvu,Akili,na juhudi zote tupambane kujitoa kwenye vivuli vya Umaskini
  11. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Orodha ya familia 10 tajiri zaidi duniani 2025

    Unawajua Rothschild Family?,unawajua Rockefeller Family?. Bro Kuna zinafamilia zina mawe Sana kuliko ambazo zilizotajwa ila hua haziandikwi Forbes
  12. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kusave pesa yako

    Naongezea 9.lipa madeni yote Kama unadaiwa 10.Usijibebeshe Majukumu yanayokuumiza kwa mtu ambae hujamuoa 11.Punguza kula mgahawani pika mwenyewe chakula chako 12.Nunua Vyakula visivoharibika kwa Bei ya jumla Mfano mchele,mahindi,mafuta nk 13.Usiishi kwa mashindano Mfano kuvaa kila fashion...
  13. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Pesa ya mshahara haitoshi kwa watumishi kwa sababu kuu tatu!!

    Kama Huwaamini watumishi,toa hata Sadaka kwa watu wenye changamoto na uamini tu ulichotoa kitaludi zaidi
  14. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Kwenye nchi ya kusadikika mtamlaumu Malikia bure

    Hao Ni miongoni TU kati,Wengine Ni JM,Na Mwingine Ni yule mmiliki wa mtandao fulani wa Simu uliobadili jina lake
  15. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Tanzania Kwenye nchi ya kusadikika mtamlaumu Malikia bure

    Naam Hakika Nchi fulani zimekuwa za kikundi Cha watu fulani waliojimilikisha
Back
Top Bottom