naamin naweza kukushauli ndugu yangu mwanaume/mwanamke alie kamili auwez ukampata bila kuonja hayo mapungufu yake japo kidogo. wapo wanaume/wanawake ambao wako njema kwa ajili yako, ila kutokana na maswaibu meng yaliomkuta akakata tamaa na kuchenji
labda nikwambie kitu ambacho una elimu yake, uislam ni dini ya kitaaluma katika nyanja zote. iwe kiuchumi kisiasa na kiutawala. ila ufahamu una maadui wengi ikiwemo na wewe na kuusakama mpaka uonekane hauna maana. la kukushauli tu soma vizuri vitabu
Nahitaji kuwajulisha kitu wana jf. hakuna mwenye jina la usaliti katika viumbe hiv viwili yani mwanamke na mwanaume. kimsing hapa ni kufaham kwamba kila binadam ana mapungufu yake, kwa hy mmoja miongoni mwa viumbe hawa wawili anaweza kua msalit.
ngoja nikwambie mtu wangu ao ote hajakusaidia ila wamekuponda. kama unataka kweli izo six packs usiogope, kuna mazoezi ya kufanya ambayo yatakuwezesha kua na izo six pack zako. zoez la kwanza, ulale kichali na kukaa bila ya kugeukageuka, oh no space
kisenzo compan ni wataalam waliobobea katika fani ya umeme wa majumbani, wanatoa huduma zote zinazo husiana na umeme wa majumbani, kwa maelezo zaid piga sim no.0719286457au emeil: hamiselectricalmaintainance@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.