Hayo ya kwako na madogo kuliko tunayopitia cc wenzio,ndoa yako ina muda gani kama ni changa hayo mambo ni yakawaida.jitahidi kumwambia nn unataka na usichopenda pia.mi mwenzio yalikuta kama hayo kuchunguza kwa makini nikagundua ana rafiki anayemshawishi nikamrekebisha hadi sasa tuna miaka 9...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.