Recent content by hamed chriss

  1. H

    CRJE na ufisadi serikalini

    bora hata umewaambia kwa maana wengi humu wanaongea kulingana na vile waonavyo na macho yao na sio kiufundi, baati nzuri me ni mmoja wa kati ya watu walioshiriki ujenzi wa udom, nianze kuongea kuhusu CRJE, hii ni super power construction co kwa nchi yetu huo ni ukweli, so tuache unafiki usiokuwa...
  2. H

    Kwanini mji wa Moshi (Kilimanjaro) haubadiliki miaka nenda rudi?

    kweli maduka makubwa ni moja ya maendeleo hatukatahi" leo hii tunasema Uchumi na nakumati wamefungua maduka, its ok, lakini kumbuka maduka hayo ni ya investors kutoka nje, Sina hakika serikali ya Tz ikiwamo mkoa wa kilimanjaro watanufaika kwa kiasi gani kwa kwa kuwakaribisha investors hawa...
  3. H

    Utambulisho mpya wa Jiji la Dar es Salaam

    Uzuri wabongo tunajijuwa sifa zetu. kwenye mafanikio yetu ndio huwa hatupendi, tukiludi kwenye ukweli majengo hayo ni mazuri pia ni kivutio cha jiji la dar es salaam. bila kujali jiji limepangwaje, na ndio majengo marefu ukanda wa afrika mashariki, kati,mpaka magharibu kwa kipindi hichi, mnatake...
  4. H

    Tumalize Ubishi: Kati ya Dodoma na Moshi, ni mji upi Umeendelea?

    baadhi ya wachangiaji wanatumia asira, na uzalendo kitu kinachopelekea kutoka nje ya mada, % kubwa ya miji yote kwa dunia hii utegemea maendeleo yake kutoka serikalini pamoja taasisi zake mbalimbali, makampuni, taasisi za kidini nk, ni % chache sn mtu binafsi anaweza leta maendeleo katika jamii...
  5. H

    Kenyan & Tanzanian Surburbs

    Nairobi ina majengo marefu kuanzia 20 floor ni 31 pia daslam iko na 27 kwa majengo jibu tumelipata upande wa miundombinu na viwanda dar imeachwa mbari sana labda baadae tunaweza fika huko lakini sio sasa ila nairobi wajiahadhali sana kwani dar inakuwa kwa kasi ya ajabu na hakuna wa...
  6. H

    Ujenzi wa ghorofa refu kuliko yote Mwanza unaendelea

    Kasi ya ukuwaji wa miji yetu bado ipo chini sana. Taasisi zenye pesa, serikali pamoja, mashirika ya pasion pamoja bado wanaangalizia dar es salaam pekee na sio mikoa mingine ndiomana dar es salaam inakuwa kwa kasi ya ajabu tofauti na mikoa mingine
Back
Top Bottom