Recent content by hakuna mkamilifu

  1. H

    Friends of E. Lowassa

    Kwani amekatazwa? muda ukifika atangaze nia .Kila Mtu Ana haki ya kuchaguliwa na kuchagua.na Kama kapoteza Sifa muda ukifika ataachwa.
  2. H

    CUF imekufa bara, CHADEMA inazidi kuimarika

    WaPi nguvu ya UMMA,wapi chopa.Sasa tunakaribisha visingiio.anzeni
  3. H

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    Na bado mzimu wa zzk lazima mpoteze hiyo kata.mtashangaa saaaana.
  4. H

    Gari la CCM limekamatwa likiwa na mapanga na mashoka

    Watanzania sote tunajuana,wasafi kila chama wapo wachache, wachafu kila chama wamejaa,wauwaji wamejaa kila chama. Mafisadi wapo vyama vyote.wezi,wazushi.n.k. hivyo mbadala w a Ccm aje mwenye sifa tofauti na Ccm.
  5. H

    Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mbunge Kasulumbay wafikishwa kortini

    Usimuingize Mungu ktk mambo yenu ya vyama.mungu hapendi madudu yenu mnayofanya ktk siasa zenu za kishetani. Hakuna chama safi cha upinzani kilichoanza na Mungu.
  6. H

    Mbowe amlipua JK kuhusu katiba mpya

    Kwani maoni waliyotolewa,lazima yapite? kama ndo hivyo mchakato wa rasimu hii ya pili UISHIE HAPO ULIPO .
  7. H

    Maamuzi magumu: Hii kadi ya CHADEMA adhabu yake risasi na petroli...

    Nyie cdm mna nini cha ajabu.ndani ya saccos yenu hakuna demokrasia,na ufisadi wa mapato ya chama.Mtaweza kuendesha nchi nyie na kuondoa umasikini,
  8. H

    Picha: Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Kikwete Akabidhi Wasanii Mashuhuri tuu Kadi za kujiunga na CCM

    Kwani kujiunga na siasa si walianza sugu,afande sele,p,jey katika chadema kwa kujitangaza na kupata ubunge,
  9. H

    Kupanda kiinua mgongo cha Wabunge: Nini msimamo wa Upinzani?

    Nionavyo Mimi wabunge wote wa binafsi tu.Suala lolote ambalo wabunge watafaidika moja kwa moja hakuna hupinzani wala chama tawala., wote wanakuwa wamoja.Hapo watanzania ndio watakao umia na kuachwa bila watetezi.Hakuna chama makini wala chenye uchungu na watanzania.WOTE WASANII TU.
Back
Top Bottom