BREAKING NEWS TOKA SONGEA
LEO tarehe 03/08/2020 Mahakama ya Wilaya ya Songea imetoa hukumu ya kesi iliyokuwa inayowakabili viongozi wa chama Mkoa wa Ruvuma akiwemo M/kiti wa Mkoa Mh. Aden Mayala, Mwenyekiti BAVICHA Songea Mjini Ndugu Belchomans T. Ponera na wengine 6, kesi ambayo kwa upande wa...
Kwa mambo yanayoendelea na ubinafsi wa serikali ya awamu ya tano itaipeleka nchi kwenye machafuko.
1. Wanamtumia msajiri wa vyama vya siasa il kufarakanisha jamii kwa hoja za kijinga sana.
Hili la Kutishia kukifuta chama cha ACT hawajafanya kwa bahati mbaya wana malengo yao.
2. Hii funga funga...
Tatizo hapa kila mmoja anajifanya anawaponda hao vijana wakati nyie ni miongoni mwa hao vijana wanaojadili hizo pumba.
Shida iko hiv, hapa tanzania watu wenye mawazo hayo pumba ndio wanafanikiwa kuliko hao watu ambao wana uwezo wa kujadili mambo ya maana.
Mfano , mmiliki wa JF na uwezo wake...
Askofu wa katoliki jimbo kuu la Songea, Askofu Dammian Dallu ameicharukia Serikali juu ya utaratibu wake mpya wa kukusanya mapato na kuwataka kuwa na leseni katika Vituo vya watoto yatima, walemavu na watu wenye mahitaji, ameitaka serikali iwe wanatumia akili kuwaza mambo yake na sio...
Mahakama zetu haziko huru, hawa jamaa wanatuona watanzania ni wajinga sana, ipo siku hawa polisi wanaowategemea hawatatosha kabisa kutuliza hasira za vijana wa kitanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna siasa za kijinga haijawahi kutokea, siasa za chuki, upumbavu, wanakera sana, hivi ni kwanini wana CCM wana akili za kijinga hivi....?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hii nchi haina haki kama haupo CCM, Haiwezekani mtu mumsoteshe magereza kwa miaka zaidi ya minne sababu za kisiasa tu, ni ya majuha wa hali ya juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uelewa wangu, "National" hutumika kwa lengo la kupata nguvu ya kibiashara hasa kwa Taasisi zenye umiliku hasa wa sector binafsi, Lakini "Tanzania" hutumika kwa taasisi za serikali moja kwa moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.