Recent content by HAKI SIO ZAWADI

  1. H

    Kampuni za Simu msijifanye hamjui kinachoendelea....

    Nakubaliana nawe Kuwa kweli hawa wenye kampuni wanajia kinacho endelea MIE ni mmoja wa waadhirika na wizi HUO tangu tarehe 22/6/2016 mpaka Leo nasumbuliwa Voda tatizo baada ya kutoa taarifa hiyo ajabu huyo Mteja bado aliweza kuamisha hiyo m4 taratibu mpaka ikabaki laki je hapo NANI muhusika...
  2. H

    Tundu Lissu unakumbuka kitu?

    Mlango mmoja ukifungwa mwingine lazima upatikane ni kwa namna gani ? Ni mungu ndie alie jua hayo na a najua itakuwa je. KIBAYA zaidi nionavyo Mimi wana sahau Kuwa ni Binadamu wenzao wenye Akili Kama wao fikira nk so time will te..msingi uwe wa kutunza Amani na uvumilivu tu ukweli upo tu.
  3. H

    Livingstone Lusinde: Kwa spidi hii ya Magufuli, 2020 tunaweza tusiwe na uwakilishi wa upinzani

    Sio Dodoma tu Mikoa ile ambao 0 zimewatawala ni shida sana wabunge wao chunguzeni sio nawatukana ila ni ukweli hivyo kitu cha kwanza kwao wangepigania elimu ili watoke walipo chongo ni kiongozi wa msafara wa vipofu.
  4. H

    Naibu Spika Dk. Tulia Akson hakunaga. Uwezo wake wavuruga akili za wabunge wote wa UKAWA

    Oooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo+Umasikini+kula kulala+no elimu= Mkumbo.
  5. H

    Naibu Spika Dk. Tulia Akson hakunaga. Uwezo wake wavuruga akili za wabunge wote wa UKAWA

    Ni kweli hawana uwezo wa kuwanyima wakitaka wawafukuze na UBUNGE Kama wanaweza, Sisi ndio waajiri wao, Embu chunguzeni kwa Makini sana Mikoa yenye wajinga wengi, Ombaomba na wavivu hutoa wabunge sio huwa na kihere sana ili nao waone Kane sio makosa Yao ona Dar,Mbea, mwanza, Mara,nk wasomi tele...
  6. H

    Naibu Spika Dk. Tulia Akson hakunaga. Uwezo wake wavuruga akili za wabunge wote wa UKAWA

    Na dhani huja Kua na Kama UMEKAUA huna mtoto zaidi ya simu hujui uchungu wa kumpotezea mtoto muda upo kishaki zaidi, Ujue huja kua ni pale unapo sema mpaka 2020 sie ndio tulio wengi tulio watuma na ukweli mnaujua japo mdomoni mnajivunia 2020 tuombe Afya, Kama wewe ulivyo sema AMANI I tawale Kama...
  7. H

    Video: Makonda sasa amgeukia na kumshambulia Lowassa

    N i o n a v y o k u n a t a t i z o
  8. H

    Rais Kikwete anatafuta mrithi anayekubalika na wananchi au yule atakayelinda maslahi yake?

    Hivi tukiwa na SHERIA ya kunyonga mpaka kufa kwa RUSHWA, UFISADI,UJANGILI,MADAWA YAKULEVYA,NA BIDHAA NA DAWA FEKI tunaogopa nini?
Back
Top Bottom