Kama kweli mlikua na nia ya kuleta Katiba Mpya mngeileta mwaka huu Kabla ya Uchaguzi! Rasimu ya warioba ipo tayar, mnataka muanze kuunda tume? Tume ya ngapi ? Kila siku tume tume #Wahuni wako wengi sana
Hapo napingana na wewe ! Hospitaly nyingi za Serikali wako hivyo kipindi hiki ila kipindi cha Mh Magu nidhamu ilikuwepo,, Mawenzi wanazingua kitambo tu,, Ukiacha kcmc kuna st joseph mbona wako vizur tu kwenye kutoa huduma?? Nyie ndo wahuni wenyewe hamtaki kuambiwa ukweli , mkiambiwa ukweli...
Kuna Watu wanavitambulisho vya Nida lakini namba imefungiwa au kuna mtu ana namba lakini imefunguliwa Imesababisha Kero Kubwa sana Kwa wananchi coz mtu anashindwa kufanya mambo yake! Kwa mfano mtu amepoteza simu au imeibiwa akienda kurenew line inakataa coz namba ya Nida imefungiwa ni Changamoto...
Wasaidie kwa uwezo wako ukiwa huna waambie sina! Usichoke kuwasaidia ndo Maisha yalivyo,,! Kila kitu kina sababu zake unaweza kuta unavyowasaidia na wewe mambo yako ndo yanaenda! Au unahisi Tangu uwe unawasaidia kuna kitu kimepungua?
Sijasikia Kabisa Suala la Umeme kushuka Bei,, Tumejenga Bwawa la Mwalimu Nyerere mpaka sasa Faida yale haijajulikana moja kwa moja Tulitegemea umeme utashuka bei ili wananchi watumie Nishati safi Tusahau kutumia kuni lakini Mradi umekamilika bado Umeme tunanunua bei kubwa ndio maana wananchi...
Nchi Hii ukisema Ukweli unaonekana si Mzalendo au ni Muasi sio hivyo sote nia Yetu ni moja kutengeneza Taifa lenye kujali wananchi wake ! Uadilifu unahitajika nyanja Zote!
Kwamba watu wakubwa ndo wako juu ya sheria? Na wadogo wako chini ! Tanzania tunashida gan jaman ? Kwa style hii maendeleo yatafika kwa wakati kweli? Halafu wananchi tunaambiwa tuwe wazalendo wakati wao wakubwa wenyewe si wazalendo!
Kwa maoni yangu kwenda mahakamani kusikiliza kesi sijajua kama ni kuvunja amani! Kikubwa ni kuwaruhusu watu waende coz hakuna mtu anashida na kufanya fujo yyt! Polisi waimarishe ulinzi
Kwa Maoni yangu Nahisi kuna Viongozi wanahusika na iyo michezo coz haiwezekani watu wanaendesha biashara kwa muda mrefu mpaka wanafungua ofisi kila mikoa kwamba Vyombo vya usalama hawajui ? Haiwezekani kuna namna hapa! Mpaka wananchi wachukuliwe pesa zao ndio wanawakata baada ya kujikusanyia...
Subhannallah!! Sheria zimekua nyepesi mno ndo maana haya matukio hayaishi but Tungefuata sheria za Mwenyezi Mungu watu wangekua na hofu ! Mtu akikutwa na hatia ya kuua na yeye ananyongwa Hadharani! Mwenyezi Mungu anatujua vizur sisi Binaadam tulivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.