Hujakosea unaweza ukacheki kwa Dr sinare.. au pia kama ni mkazi wa ilala cheki pale Amana kwa Duka la mifugo.. wanakua na breed za mbwa za aina nyingi na ni pure breed
Tofautisha m2 ukisema umetembea nao b4.. Kabla hujaolewa, Bond ya mke na mume ni tofauti na ile ya regular couples... So kama mume ana haki ya kuona wivu.... Na kuskia uchungu pale anapokuta text za ajabu kwenye sim ya mkewe... Haijalishi ni wanaume wangapi alitembea nao kabla hajaingia kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.