Recent content by Haematology

  1. H

    Naombeni ushauri wazo la biashara

    Habarini za majukumu ndugu zangu? Mimi ni mwajiriwa katika moja ya sekta binafsi. Sijaridhika na hela ya mshahara ninayopata, nimejitahidi kuweka akiba kila mwezi hadi sasa nina kama 800,000. Natamani kuanza kufanya biashara sema kila wazo ninalofikilia naliona sio sawa. Pia napata hofu...
  2. H

    Changia damu okoa maisha

    Kweli kabisa inauma sana tuu sema haiwezi kuwa mara zote inatokea hivyo hizo mara nyingine utawaokoa wengine
  3. H

    Changia damu okoa maisha

    Labda huyo mgonjwa alicheweshwa uletwa kupata huduma hiyo ila ww ulikuwa na nia ya kweli Mungu atakubariki kwa upendo wako
  4. H

    Changia damu okoa maisha

    Hahahaahah huna moyo wa upendo kwa wagonjwa
  5. H

    Changia damu okoa maisha

    Hahaha sehemu nyingine wanatoa ila kwingine hawatoi
  6. H

    Changia damu okoa maisha

    Leo 14/6 ya kila mwaka ni siku ya mchangia damu kwa hiari.Kwa ambao mnaweza mnaweza kusogea kwenye sehemu wanazotoa ili kuchangia. Siku njema kwenu nyonte
  7. H

    Waraka wa wazi kwa waajiriwa wote wanaotamani kufanikiwa kwenye ujasiriamali

    Kawaida tuu watakuzoea na ww utapata usikute huko wanapenda coz wanakopa sana ndio changamoto hizo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. H

    Majibu ya utata

    Kwan ESR ni kwaajili ya HIV?? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. H

    Majibu ya utata

    Sawa mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. H

    Majibu ya utata

    Hata sielewi yaan Sent using Jamii Forums mobile app
  11. H

    Majibu ya utata

    Naomba Mungu kesho niamke Salama niwahi hospitali mapema kabla sijaanza mishe zangu niwe na uhakika Sent using Jamii Forums mobile app
  12. H

    Majibu ya utata

    Sawa mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. H

    Majibu ya utata

    Huko ndio kabisa yaani huko ndio kabisa wanatudanganya mno Sent using Jamii Forums mobile app
  14. H

    Majibu ya utata

    Kama zip?? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. H

    Majibu ya utata

    Duuuuhh za kawaida tuu sema huwa najilinda na hizo nyendo hatarishi Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom