Haematology
Member
- Jan 7, 2019
- 18
- 9
Habarini za majukumu ndugu zangu?
Mimi ni mwajiriwa katika moja ya sekta binafsi. Sijaridhika na hela ya mshahara ninayopata, nimejitahidi kuweka akiba kila mwezi hadi sasa nina kama 800,000.
Natamani kuanza kufanya biashara sema kila wazo ninalofikilia naliona sio sawa. Pia napata hofu kuhusu makato ya kodi ya TRA na sehemu nyingine zinazohitaji makato na ushuru.
Naombeni ushauri kwa wazoefu wa biashara.
Mimi ni mwajiriwa katika moja ya sekta binafsi. Sijaridhika na hela ya mshahara ninayopata, nimejitahidi kuweka akiba kila mwezi hadi sasa nina kama 800,000.
Natamani kuanza kufanya biashara sema kila wazo ninalofikilia naliona sio sawa. Pia napata hofu kuhusu makato ya kodi ya TRA na sehemu nyingine zinazohitaji makato na ushuru.
Naombeni ushauri kwa wazoefu wa biashara.