U are very right Nikiwe, nashikana bega na ww, ucthubutu kabisaa kumpa pesa hata akija anatembea na magoti!!!! juzi juzi tu hapa mwenzio nimetoka kulizwa, jamaa akaamua kukata kabisa mawacliano......uuuuh!! Sitokaa nimpe pesa yangu mwanaume!
Lakini mi naona c wadada tu! hata wakaka sikuhizi wamekuwa mmmh!! wachunaji wazuri, mara baby sina vocha, mara hiki wengine hata pesa wanaomba live...(With experience and evidence).
Asanteni sana brothers and sisters kwa ushauri, kitu nlichogundua ni kwamba the guy ni pasua kichwa! So nimeamua ku move-on na maisha yangu....love u all and be blessed.
Je, sheria inasemaje juu ya mwanaume anayekwepa jukumu lake la kulea mimba, lakini hapo hapo anadai kuwa mtoto akizaliwa ni mali yake na atamchukua?
Naombeni msaada kwa hili.
Hili limetokea leo tu ila tangu amekuwa mbali na mimi nahisi kama amebadilika coz ninaweza piga simu isipatikane au isipokelewe nkimuuliza anadai imekufa betri wakati haikuwa na shida kama hiyo before, yaani kifupi ni kwamba amekuwa muda mwingi hayupo hewani.
Jamani naombeni msaada, hivi mtu kama huyu nyie mnamchukuliaje? tulikuwa ndo tumeanza tu kuongea kwa njia ya simu mimi na mpenzi wangu ambae nkonae mbali, hata dakika tano hazikuisha akanambia "kata simu kuna mtu anapiga" hapo akatumia zaidi ya lisaa kuongea anadai ni kaka yake,mi nkaamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.