Recent content by Hady

  1. H

    Mpenzi hajali muda

    Mkumbushe aanze kujiandaa mapema.
  2. H

    am sory boy

    U are very right Nikiwe, nashikana bega na ww, ucthubutu kabisaa kumpa pesa hata akija anatembea na magoti!!!! juzi juzi tu hapa mwenzio nimetoka kulizwa, jamaa akaamua kukata kabisa mawacliano......uuuuh!! Sitokaa nimpe pesa yangu mwanaume!
  3. H

    Ni kwa nini hali kama hii inatokea?

    Lakini mi naona c wadada tu! hata wakaka sikuhizi wamekuwa mmmh!! wachunaji wazuri, mara baby sina vocha, mara hiki wengine hata pesa wanaomba live...(With experience and evidence).
  4. H

    Njia za kumsahau mpenzi tuliachana

    Jiweke busy,then ukihisi kama unataka kumkumbuka vile jipe shughuli ya kufanya,pia usipende kukaa pekeyako muda mwingi..Polee.
  5. H

    Mwanaume kutotoa huduma yeyote katika kipindi cha ujauzito.

    Nashukuru sana kwa mwongozo, ninalifanyia kazi suala hili.
  6. H

    Nafanya kama sijali ila moyoni naumia!

    Asanteni sana brothers and sisters kwa ushauri, kitu nlichogundua ni kwamba the guy ni pasua kichwa! So nimeamua ku move-on na maisha yangu....love u all and be blessed.
  7. H

    Nafanya kama sijali ila moyoni naumia!

    msg yako?? ilikuwa na rangi gani? hiyo nimeandika mwenyewe,and I don want those stresses any more!! Km ni yako au c yako to hell?? utajua mwenyewe.
  8. H

    Mwanaume kutotoa huduma yeyote katika kipindi cha ujauzito.

    kama hukuwa na chakuchangia ni bora ungeiacha kama ilivyo!
  9. H

    Mwanaume kutotoa huduma yeyote katika kipindi cha ujauzito.

    Je, sheria inasemaje juu ya mwanaume anayekwepa jukumu lake la kulea mimba, lakini hapo hapo anadai kuwa mtoto akizaliwa ni mali yake na atamchukua? Naombeni msaada kwa hili.
  10. H

    Ujumbe mahususi kwa mabachela

    Hata mimi sina ubishi kabisa na hilo.
  11. H

    Nafanya kama sijali ila moyoni naumia!

    mh! mnanishauri nifanye nini? maana naogopa kuendelea kupata maumivu zaidi.
  12. H

    Nafanya kama sijali ila moyoni naumia!

    Simu nimeiwasha now, na ametuma text kuwa "Beb stop that,sleep tit". Ila mwenzenu hata simuelewi.
  13. H

    Nafanya kama sijali ila moyoni naumia!

    Hili limetokea leo tu ila tangu amekuwa mbali na mimi nahisi kama amebadilika coz ninaweza piga simu isipatikane au isipokelewe nkimuuliza anadai imekufa betri wakati haikuwa na shida kama hiyo before, yaani kifupi ni kwamba amekuwa muda mwingi hayupo hewani.
  14. H

    Nafanya kama sijali ila moyoni naumia!

    Asante Bak kwa ushauri, ngoja niiwashe nione kama kunachochote.
  15. H

    Nafanya kama sijali ila moyoni naumia!

    Jamani naombeni msaada, hivi mtu kama huyu nyie mnamchukuliaje? tulikuwa ndo tumeanza tu kuongea kwa njia ya simu mimi na mpenzi wangu ambae nkonae mbali, hata dakika tano hazikuisha akanambia "kata simu kuna mtu anapiga" hapo akatumia zaidi ya lisaa kuongea anadai ni kaka yake,mi nkaamua...
Back
Top Bottom