Recent content by Haddyme

  1. Haddyme

    House4Rent Natafuta appartment ya 2 bed

    Natafuta appartment ya 2 Bedroom one master isiyozidi 600K mjini
  2. Haddyme

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    TLC smart Tv from Dubai 48" 1.2 mio fixed
  3. Haddyme

    TV4Sale BNL Electronics: Smart TVs, LED Tvs for sale!

    Nina TCL nchi 40 imenunuliwa Dubai naiuza
  4. Haddyme

    USHUHUDA: Hivi ndivyo mafuta yanavyoibiwa Bandarini Dar...

    Ndugu Bopwe napenda kukusahihisha kwamba TIPER hupelekwa mzigo ambao ni Financial Hold haujalipiwa kwa supplier (either by Cash or LC yenye payment terms ya 60 days) na kama mzigo umelipiwa unakuwa pump direct to the terminal/depot ya Oil Market Company. Ushuru wa importation kila kampuni...
  5. Haddyme

    USHUHUDA: Hivi ndivyo mafuta yanavyoibiwa Bandarini Dar...

    Hizi tender ni za kila mwezi ambazo hutangazwa na Petroleum Importation Coordinator Ltd (PICL) na supplier wana Bid then the lowest bidder anashinda supply since 2012. Mifano ya kampuni zilizowahi kushinda ni Augusta Energy SA (Geneva), Addax Energy SA(Geneva) Gapco Tanzania Ltd (Tanzania)...
  6. Haddyme

    USHUHUDA: Hivi ndivyo mafuta yanavyoibiwa Bandarini Dar...

    Ndugu Belo ukwepaji upo na ukwepaji upo hasa kwenye declaration ambayo inahusisha mafuta ya Transit tu kwasababu process ya Cargo manifest ni ngumu kwa kitu alichokisema hapo juu mleta mada kwasababu manifest inafanywa na shipping agency (Sturrock) kwa kushirikiana na Supplier na kuwa lodged TRA...
  7. Haddyme

    USHUHUDA: Hivi ndivyo mafuta yanavyoibiwa Bandarini Dar...

    Halafu swala jingine inaonekana kuna vitu huvijui vizuri as per TBS requirement for Diesel au Gasoil inayotakiwa ni low sulpher 500 ppm na sio hiyo uliyoitaja na ilianza kutumika January 2015 before hapo tulikuwa tunatumia 50ppm. Mafuta yote yanayoingia nchini yanakuja kwa Bulk supply na...
  8. Haddyme

    USHUHUDA: Hivi ndivyo mafuta yanavyoibiwa Bandarini Dar...

    Huo ni uongo uwezo wa meli kushusha KOJ ni meli isiyozidi Tani 35 KT na above that inashushia SPM au single mooring Point ambayo inashusha Diesel peke yake 70KT to 100KT mleta mada usidanganye watu KOJ haiwez kuhimili meli inayobeba Tani laki moja utakuwa umesimuliwa
  9. Haddyme

    Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya kusafirisha Mafuta na kumiliki vituo vya mafuta

    Kama upo dar nitafute kuna ili usaidiwe kupata maelekezo yatakayokusaidia
  10. Haddyme

    Waziri wa Fedha ndie kila kitu, Magufuli akichemsha hili, basi

    Naamini Dr Mpango ni the best choice time will tell. Tangia awepo Tume ya mipango alikuwa thinktank mkubwa sema mipango yake ilikosa mtu wa kuitekeleza....i think JPM yupo right to have his shot kwa Dr Mpango.
  11. Haddyme

    Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara ya kusafirisha Mafuta na kumiliki vituo vya mafuta

    Tanzania tunatumia Bulk Petroleum System ambayo tender inafanyika kwa kumpata supplier kwaajili ya ku import mafuta yote yaan white petroleum (Diesel, Petrol, Jet A1/IK). Winner wa tender ni yule lowest bidder. Reason ya kutumia hii system ni kuweza ku control quality na price katika soko la...
  12. Haddyme

    For JamiiForums Mobile users

    [Colour=red]Harold
Back
Top Bottom