Division inabidi uwe na point
I.e =sum(if(LARGE (A1, B1, C1,........{1,2,3,4,5,6,7} ) <=21,5,IF(................))
Utapata point then tumia point kutafuta division kwa kutumia formula kama ya grade
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Nilifanikiwa kupata namba zao za simu nilivowapigia na kuwauliza tatizo ni nini za kufanya Kila nikituma jina langu halitokei kwenye list ya walio tuma walichonijibu ni kwamba nilitumia majina mawili na waliitaji majina matatu na CV na cheti cha kuzaliwa [emoji17] [emoji17] [emoji17]
Ninashangaa na nakuwa na sintofahamu baada ya kutuma vyeti kwenye email za wizala ya elimu na kukosa kwenye orodha ya waliotuma vyeti na kupelekea kukosa kwenye orodha ya waliopangiwa vituo vya kazi. Sijui nini kipo kwenye vyeti vyangu!!! Hadi sasa sjui nifanyeje ushauri tafadhari wana jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.