Recent content by Habibu B. Anga

  1. Habibu B. Anga

    Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

    Habari za masiku Comrade.. mimi mzima wa afya.
  2. Habibu B. Anga

    The king makers

    Pamoja sana chief
  3. Habibu B. Anga

    The Bold Bulletins

    Unataka uwe na imani na mimi ili iweje mkuu?? Kuwa na imani ma Mungu wako tu.. hilo ndilo wapaswa kufanya. Imeandikwa, "amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu.." Wekeza imani yako kwa Mungu wako.
  4. Habibu B. Anga

    Mifereji ya Dhahabu: Pasipo Silaha, Chuki wala Ukatili

    Amen [emoji120] karibu mkuu
  5. Habibu B. Anga

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Sikuutelekeza...nilikuwa na majukumu. Watu sio wavumilivu. Ni bora ubakie gizani tu
  6. Habibu B. Anga

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Kuna watu walikuwa wanatuharibia ule uzi. Uzi umewekwa 'gizani' kwanza.. lets see
  7. Habibu B. Anga

    Habibu B. Anga (The Bold) Mungu akupe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate your writings brother. All the best

    Nashukuru sana Mkuu kwa pongezi na kunitia moyo. Ni adimu sana watu wa sekta moja kuonesha appreciation kwa mwingine. Inadhihirisha ukomavu wa haiba na misuli yako ya fikra. Mwenyezi Mungu akuweke nawe pia ndugu yangu tuendelee kusongesha hili gurudumu. Naamini siku moja mbegu tunayoipanda...
  8. Habibu B. Anga

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Makala mpya.. UNIT 15: Nusu damu.. Nusu Majivu
  9. Habibu B. Anga

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Kesho mchana tutaanza makala mpya... Be here, Usikose.
  10. Habibu B. Anga

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Taarifa zote hizi Marekani hawakuwa wanazijua mpaka Dr. Ye alipotoroka kurejea China. Kwa miaka yote miwili ambayo alikuwa akiishi Marekani walikuwa wanamchukulia kama mtafiti tu na mwanasayansi pasipo kujua kwamba ni Dr. Ye alikuwa ni jasusi mbobezi kabisa. Huyu Dr. Ye akiwa Marekani aliwahi...
  11. Habibu B. Anga

    COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

    Huyu ndiye Mwanamama Mtafiti na Mwanasayansi Yanging Ye. Hii picha nimeipiga mchana wa leo kwenye tovuti ya FBI. Unaweza kuitazama hata sasa kwenye kipengele cha watu wanaotafutwa (Most Wanted list). Mwanamama huyu bado angali anatafutwa na FBI kutokana na masuala kadhaa ambayo FBI wanahitaji...
Back
Top Bottom