Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh Mbowe jana alifanya MIKUTANO MIKUBWA MIWILI ya kuwanadi wagombea udiwani kata ya GENGE Yosepher Komba, na Kata ya TINGENI Omary Khatibu! Wilaya ya Muheza Mkoa wa Tanga. Umati wa wananchi uliofurika katika Mkutano wa CHADEMA ulisababisha CCM na CUF waahairishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.